secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,586
- 29,294
Duh mkuu hiyo ni mpya hapo sasa Sijui shida ni nini maana nyuzi za hivyo huwa hazifutwi humu.Kuhusu ushauri wa Chadema ili wachukue serekali
Duh mkuu hiyo ni mpya hapo sasa Sijui shida ni nini maana nyuzi za hivyo huwa hazifutwi humu.Kuhusu ushauri wa Chadema ili wachukue serekali
Sijasema hvo..Kumbe shida ni bank mkuu
Mkuu wewe si ndiye uliyekuwa mkali pindi ukiona mtu anatembea na mwanfunzi sasa wewe mbona ndo uko mstari wa mbele.😂😂😂😂😂humu tuuuu
Humu tuuu
Kuna kidada najilia kisa boom kuchelewa yaan bodi wamejichanganya mwaka huu..
Hi inatokana na bank unayotumia kuna cici wa bank zetu official mapema sanna tume sign na tushasahau...
Sio mwanafunzi ni mdada wa chuo..Mkuu wewe si ndiye uliyekuwa mkali pindi ukiona mtu anatembea na mwanfunzi sasa wewe mbona ndo uko mstari wa mbele.
'Mwanfunzi wa chuo'.Sio mwanafunzi ni mdada wa chuo..
We jamaa ujiheshimu kumbe..
Fungulia itv uchek kesi ya lisy
We jamaa ujitambui 😂😂😂😂'Mwanfunzi wa chuo'.
Chunga sana mkuu 😎.
Ukiona mwanafunzi wa chuo anasoma miaka 3 biila kugoma, ni ama ana kariri masomo au haelewi anachofundishwa ( Prof. Chachage, s chachage, 2000s)Hadi sasa hela za,matumizi ni Dana Dana leo wiki napika ugali then ule uji nilitumia kusongea ugali ndio nafanya mchuzi WATANZANIA wako na mioyo ya huruma msaada jamani