Kulikoni bodi ya mikopo ya elimu ya juu

Kulikoni bodi ya mikopo ya elimu ya juu

Una maanisha boom bado halijatoka sio?ni vyuo vyote hawajapewa au baadhi tayari mkuu?
 
Bodi ya mikopo wameshaachia pesa tatizo lipo bank hawatoi OTP kwaajili ya kusign sijui wanakwama wapi, watu wanateseka sana.
 
pole sana..... Kama kuna mtu hakuteseka kupata pesa ya kujikimu basi ni mimi kila kitu kilitoka ndan ya wakat ., ila ulikuwa wakati wa magu...
 
Unasoma chuo gani maana Kuna baadhi ya vyuo huwa wanapewa mapema.
 
😂😂😂😂😂humu tuuuu
Humu tuuu

Kuna kidada najilia kisa boom kuchelewa yaan bodi wamejichanganya mwaka huu..

Hi inatokana na bank unayotumia kuna cici wa bank zetu official mapema sanna tume sign na tushasahau...
 
Back
Top Bottom