Martin George
JF-Expert Member
- Jun 4, 2017
- 1,695
- 1,470
Ndio, yeye Spika ashughulike na wabunge waliomchagua na akiweza basi awanyime posho na mishahara wale anaodhani waliikataa bajeti. Huku majimboni atuachie wananchi na serikali yetu, kwenye swala la maendeleo Rais Magufuli haangalii mambo ya vyama yeye anaiangalia Tanzania! ' Mambo' yenu ya vyama malizaneni hukohuko bungeni, waziri wa fedha ni wa watanzania wote fullstop.