cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
................downloading tears...........
................downloading tears...........
................downloading tears...........
Huyo anafix makeup yake, msiba gani wa kuvaa hivyo na watu kutembelea na bia mkononi?
Kifua kimeenea na kutulia barabara, loooooooooo!
umeonaeeee ndo hapo sasa inabidi alie kistailiWe unataka hayo marangi yatapakae uso mzima?
Huyo anafix makeup yake, msiba gani wa kuvaa hivyo na watu kutembelea na bia mkononi?
superstar wa bongomovieHivi huyo nani?
hapo msibani naona huyo wa nyuma yake kama ameshika safari lager
hapo anakuna jicho au ana fix make up yake,usitulishe kasa bwana msibani watu wanasimama na bia mkononi na kuvaa kamawako twanga pepeta?
itakuwa ngumu kwangu kunishawishi kama hapo huyo dada alikuwa msibani!angalia mvao wake na mazingira waliyopo!