Lipa Kwanza
JF-Expert Member
- Jul 8, 2014
- 229
- 28
- Thread starter
- #41
Dats true mkuu, unakua mwanaume gani sasa hata huyo ke anaona hapa hakuna ulinzi[/QUOTEnimekupata mkuu.....hapo sawa.
Dats true mkuu, unakua mwanaume gani sasa hata huyo ke anaona hapa hakuna ulinzi[/QUOTEnimekupata mkuu.....hapo sawa.
tatizoni kwamba wanalizimsha kupingana na asilimmmmmnh mi sijawahi kuona
mkuu naendelea kuifanya coz nilisikia kwenye kitchenpat wakimsakama mdada upande wa mume kulala ni ukutani..hiyo research yako umeifanyaje fanyaje kwa wanandoa wengine
heb tupe steps ikiwezekana na picha kabsa
Je, wajua kwamba siku zote wanapolala mume na mke, mwanaume siku zote hulala upande wa ukutani?
Hebu kila mmoja atoe ushuhuda wake hapa na aeleze ni kwanini?
Mimi nyumba yangu haina ukuta.
hakuna kitanda kinakaa katikati ya chumba
nishuri ccta niibadili....ila ni jina la babu alinipa.Lipa Kwanza hii id mmnmh
sawa mkuu nimejaribu ila kila kukicha najikuta niko upande wa ukutatani..Usikubali kulala ukutani wewe!
Nalog off
basi utakua unalala nje msukuleMimi nyumba yangu haina ukuta.
duh...hiyo stayle ni ya kwanza ila inaweza isidumu kwa muda mrefu....badilisha
Ww inaonekana waishi kwenye nyumba yakupanga chumba 4/6 kitanda kinajaza chmba kizima