Kulala kitanda kimoja na mtoto mchanga sio sawa?

Kulala kitanda kimoja na mtoto mchanga sio sawa?

Tabutupu

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2010
Posts
13,262
Reaction score
18,711
Miaka ya hivi karibuni kumeibuka kautaratibu ka mume na mke kulala kitanda kimoja tofauti za babu na bibi zetu walivyo fanya kwani wao hata vyumba walilala tofauti isipo kua mke ndio alikua anahamia kulala kwa mume wake akiwa anahitaji kutimiza majukumu ya ndoa yao.

Lakini cha ajabu sasa hivi utakuta mtoto chini ya miezi 6 ana lala kitanda kimoja na wazazi wake wote wawili.

Mama kulala na mtoto ni haki kabisa kwa sababu za msingi kabisa.. lakini wote watatu kulala kitanda kimoja sio kabisa kwa afya ya mtoto.


Kwanza kiafya..waume wengine wanakunywa pombe, wanavuta sigara na mambo mengi kibao.

Nadhani jamii inatakiwa kuelimishwa kwa sababu sio kila jambo la kigeni linaweza faa katika mazingira yote.


Nadhani hii inachangiwa na hofu waliyo nayo wanawake kwamba wanaume wasijisikie wametengwa wasije ishia kuchepuka.
 
sasa kama mtoto wa chini ya miezi sita hawezi kulala na wazazi wake je, wa miaka 12 ndio inafaa? we kama mwanaume wako ni mlevi na mvuta sigara msilale na mtoto ila wengine tuache tu. mtoto mchanga unataka alale mwenye ili iweje wakati anatakiwa kuwa monitored muda wote? mimi nilikuwa nalala na mama na mtoto wetu na tulikuwa tunamwangalia wote muda wote, mama akisinzia unakuta sometimes kidume naperuzi jamii forums hivyo napata fursa ya kumwangalia mtoto na kumcheck vitu kama joto na kadhalika na alipofikisha umri fulani akaanza kulala kwenye kitanda chake na baadae tukamtimua na chumba akahamia kwa wenzake. kama ni imani potofu baki nayo kwenu
 
Mtoto anatakiwa alale pekee yake ndio maana hata hospitali watoto wachanga wana vitanda vyao vile vidogo.
sasa kama mtoto wa chini ya miezi sita hawezi kulala na wazazi wake je, wa miaka 12 ndio inafaa? we kama mwanaume wako ni mlevi na mvuta sigara msilale na mtoto ila wengine tuache tu. mtoto mchanga unataka alale mwenye ili iweje wakati anatakiwa kuwa monitored muda wote? mimi nilikuwa nalala na mama na mtoto wetu na tulikuwa tunamwangalia wote muda wote, mama akisinzia unakuta sometimes kidume naperuzi jamii forums hivyo napata fursa ya kumwangalia mtoto na kumcheck vitu kama joto na kadhalika na alipofikisha umri fulani akaanza kulala kwenye kitanda chake na baadae tukamtimua na chumba akahamia kwa wenzake. kama ni imani potofu baki nayo kwenu
 
Tatizo ni umaskini tulionao, utakuta wazazi wamepanga chumba kimoja, hapo hakuna namna yoyote zaidi ya kulala kitanda kimoja.
 
Hata matajiri wanalala kitanda kimoja.
Tatizo ni umaskini tulionao, utakuta wazazi wamepanga chumba kimoja, hapo hakuna namna yoyote zaidi ya kulala kitanda kimoja.
 
Serikali itusaidie kujenga affordable social housing mijini za vyumba kimoja, viwili na vitatu kwa kodi ya laki chumba kimoja, laki mbili 2 ect.
 
Sasa mkubwa unakuta mtu amepanga chumba kimoja kila kitu ni humo humo ndooo za maji karai la vyombo hadi ndoo ya kuogea na beseni la kufulia na kitanda ni cha 4×4 ataachaje kulala na mtoto
Miaka ya hivi karibuni kumeibuka kautaratibu ka mume na mke kulala kitanda kimoja tofauti za babu na bibi zetu walivyo fanya kwani wao hata vyumba walilala tofauti isipo kua mke ndio alikua anahamia kulala kwa mume wake akiwa anahitaji kutimiza majukumu ya ndoa yao.

Lakini cha ajabu sasa hivi utakuta mtoto chini ya miezi 6 ana lala kitanda kimoja na wazazi wake wote wawili.

Mama kulala na mtoto ni haki kabisa kwa sababu za msingi kabisa.. lakini wote watatu kulala kitanda kimoja sio kabisa kwa afya ya mtoto.


Kwanza kiafya..waume wengine wanakunywa pombe, wanavuta sigara na mambo mengi kibao.

Nadhani jamii inatakiwa kuelimishwa kwa sababu sio kila jambo la kigeni linaweza faa katika mazingira yote.


Nadhani hii inachangiwa na hofu waliyo nayo wanawake kwamba wanaume wasijisikie wametengwa wasije ishia kuchepuka.
 
Miaka ya hivi karibuni kumeibuka kautaratibu ka mume na mke kulala kitanda kimoja tofauti za babu na bibi zetu walivyo fanya kwani wao hata vyumba walilala tofauti isipo kua mke ndio alikua anahamia kulala kwa mume wake akiwa anahitaji kutimiza majukumu ya ndoa yao.

Lakini cha ajabu sasa hivi utakuta mtoto chini ya miezi 6 ana lala kitanda kimoja na wazazi wake wote wawili.

Mama kulala na mtoto ni haki kabisa kwa sababu za msingi kabisa.. lakini wote watatu kulala kitanda kimoja sio kabisa kwa afya ya mtoto.


Kwanza kiafya..waume wengine wanakunywa pombe, wanavuta sigara na mambo mengi kibao.

Nadhani jamii inatakiwa kuelimishwa kwa sababu sio kila jambo la kigeni linaweza faa katika mazingira yote.


Nadhani hii inachangiwa na hofu waliyo nayo wanawake kwamba wanaume wasijisikie wametengwa wasije ishia kuchepuka.
Binafsi mimi naonaga mtoto alale kwenye kitanda chake. Pembeni ya kitanda cha wazazi.
 
Nasikia wanawake ndio wanalazimisha wanaume walale nao pamoja na mtoto.
Ni hali ya maisha mkuu, babu zetu hawakuwa wakiishi kwenye chumba kimoja au chumba na sebule.
 
Kuna watu nawajua wanapesa na nyumba kubwa lakini kichanga wana lala nacho kitanda kimoja..
Serikali itusaidie kujenga affordable social housing mijini za vyumba kimoja, viwili na vitatu kwa kodi ya laki chumba kimoja, laki mbili 2 ect.
 
Ni kweli haitakiwi miili ya watu wakubwa inavyopumua ni tofauti na watoto;kwa hiyo mtoto anakuwa hapati hewa safi,ndio maana wanakuwa wanasumbuliwa na mafua,kikohozi n.k mara kwa mara.
 
Sikuwa na mood ya kukoment ila kwa uzi huu wacha nikoment
We nani kakwambia et mtoto unamlaza peke yake hvi hii umeisikia wapi yaan mpaka sasa hujui umuhimu wa joto la mama,unasingizia et n uzungu mwezangu sis tumezaliwa hapo zaman za kale na tulikuwa tunalala na wazaz wetu mpaka hapo tunapoanza kutambua tambua vitu ndo tunaamishwa chumba
Hv ww uko sawa kwel au umewaza nini yaani mtoto wa miez sita uanze kumpimia hata kunyonya
Inshort madai yako hayana msingi,na usirudie tena na hili liwe fundishe kwa wengine wanaotoa nyuzi kulingana na ndoto zao za usiku
Note!labda kama unalala kitanda cha tatu kwa sita ndo utakuwa na mawazo kama haya
 
Miaka ya hivi karibuni kumeibuka kautaratibu ka mume na mke kulala kitanda kimoja tofauti za babu na bibi zetu walivyo fanya kwani wao hata vyumba walilala tofauti isipo kua mke ndio alikua anahamia kulala kwa mume wake akiwa anahitaji kutimiza majukumu ya ndoa yao.

Lakini cha ajabu sasa hivi utakuta mtoto chini ya miezi 6 ana lala kitanda kimoja na wazazi wake wote wawili.

Mama kulala na mtoto ni haki kabisa kwa sababu za msingi kabisa.. lakini wote watatu kulala kitanda kimoja sio kabisa kwa afya ya mtoto.


Kwanza kiafya..waume wengine wanakunywa pombe, wanavuta sigara na mambo mengi kibao.

Nadhani jamii inatakiwa kuelimishwa kwa sababu sio kila jambo la kigeni linaweza faa katika mazingira yote.


Nadhani hii inachangiwa na hofu waliyo nayo wanawake kwamba wanaume wasijisikie wametengwa wasije ishia kuchepuka.
Mara nyingi walikua hawalali pamoja,walikua nawake watatu au wawili hivyo,akati huyu amejifungua basi anahamia kwamwingine .Sasa nyie mmeganda tu na joy.changamka
 
Back
Top Bottom