Sikuwa na mood ya kukoment ila kwa uzi huu wacha nikoment
We nani kakwambia et mtoto unamlaza peke yake hvi hii umeisikia wapi yaan mpaka sasa hujui umuhimu wa joto la mama,unasingizia et n uzungu mwezangu sis tumezaliwa hapo zaman za kale na tulikuwa tunalala na wazaz wetu mpaka hapo tunapoanza kutambua tambua vitu ndo tunaamishwa chumba
Hv ww uko sawa kwel au umewaza nini yaani mtoto wa miez sita uanze kumpimia hata kunyonya
Inshort madai yako hayana msingi,na usirudie tena na hili liwe fundishe kwa wengine wanaotoa nyuzi kulingana na ndoto zao za usiku
Note!labda kama unalala kitanda cha tatu kwa sita ndo utakuwa na mawazo kama haya
Kamtenge mwanaoSoma vizuri kingunebe.. ninekubali mama kulala na mtoto lakini sio baba, mama na mtoto kitanda kimoja
NdioSo unajisikia raha kilala na wanao
Ok,kidogo inasound ila bado niko palepale kama kitanda kikubwa haina noma,tatizo litakuwepo ikiwa kitanda n tatu kwa sita,afu m et nilale na mtoto baba watoto akiihitaj hudum ndo niamke kumfata apo nahis ufanis unaweza kupungua,alafu kuna mda wa usiku ambao baba anatakiwa kubembeleza mtoto sasa kama yuko chumba kingine hyo imekaajeSoma vizuri kingunebe.. ninekubali mama kulala na mtoto lakini sio baba, mama na mtoto kitanda kimoja
soma tena halafu pitia vizuri uziSijakuelewa..