CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,304
- 12,997
Hi, naomba kuelimishwa je kuna madhara gani ya kulala kifudifudi ama kulalia tumbo. mimi huwa napenda sana kulala kifudifudi.
Naenjoy sana kulala hvo na huwa napata usingizi mtamuuu! nilisikia siku moja watu wakisema et kulala kifudifudi kwa mwanamke kunachangia kulaza matiti je ni kweli pia?
Naenjoy sana kulala hvo na huwa napata usingizi mtamuuu! nilisikia siku moja watu wakisema et kulala kifudifudi kwa mwanamke kunachangia kulaza matiti je ni kweli pia?