Kuna madhara gani kulala kifudifudi

Kuna madhara gani kulala kifudifudi

CharmingLady

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2012
Posts
18,304
Reaction score
12,997
Hi, naomba kuelimishwa je kuna madhara gani ya kulala kifudifudi ama kulalia tumbo. mimi huwa napenda sana kulala kifudifudi.

Naenjoy sana kulala hvo na huwa napata usingizi mtamuuu! nilisikia siku moja watu wakisema et kulala kifudifudi kwa mwanamke kunachangia kulaza matiti je ni kweli pia?
 
hakuna madhra yoyote mwaya me mwenyewe nalala hivyo hivyo lkn ziwa saa sita mpaka sasa stoti jst jiachie its a good style by the way..
 
Mi niliwahi kuskia kuwa kulala kifudi fudi unabana kifua na unaweza kubana pumzi ukakosa kuhema vizuri.
Ni vizuri kulala ubavu
 
hi, naomba kuelimishwa je kuna madhara gani ya kulala kifudifudi ama kulalia tumbo.mimi huwa napenda sana kulala kifudifudi. naenjoy sana kulala hvo na huwa napata usingizi mtamuuu! nilisikia siku moja watu wakisema et kulala kifudifudi kwa mwanamke kunachangia kulaza matiti je ni kweli pia?
Jiandae kutoka ndita usoni, nimelala hivyo kwa miaka 10 siku moja nimeamka asubuhi najikuta na ndita mpaka leo
 
wanadai unabana/unakandamiza moyo. Hata kulala kiubavu inashauriwa usilalie ubavu wa kushoto. Best position wenye utaalamu wanadai ni kulala chali😎😎
 
Kulala kifudi fudi ni kulalia tumbo. Huko ndio kulala vizuri. Ni kweli wengi wanaopendelea kulala namna hiyo unapata usingizi mzuri. Kulala chali lazima utakoloma
 
Hi, naomba kuelimishwa je kuna madhara gani ya kulala kifudifudi ama kulalia tumbo. mimi huwa napenda sana kulala kifudifudi.

Naenjoy sana kulala hvo na huwa napata usingizi mtamuuu! nilisikia siku moja watu wakisema et kulala kifudifudi kwa mwanamke kunachangia kulaza matiti je ni kweli pia?
Inaweza kuwa ni chanzo kikubwa kupata mikunjo kwenye sura kabla ya umri kufikia uzee...
 
wanadai unabana/unakandamiza moyo. Hata kulala kiubavu inashauriwa usilalie ubavu wa kushoto. Best position wenye utaalamu wanadai ni kulala chali😎😎
kweli kabisa ziada ukilala kwa ubavu wakulia piani sawa.
 
Hi, naomba kuelimishwa je kuna madhara gani ya kulala kifudifudi ama kulalia tumbo. mimi huwa napenda sana kulala kifudifudi.

Naenjoy sana kulala hvo na huwa napata usingizi mtamuuu! nilisikia siku moja watu wakisema et kulala kifudifudi kwa mwanamke kunachangia kulaza matiti je ni kweli pia?
Mwanamke akilala hivyo huwa napenda Sana, haswa hawe modo fulani,


Mkuu nadhani hakuna tatizo kulala hivyo
 
Back
Top Bottom