kulala hivi inawezekana?

wanawake wa kijapani wanafanya kazi tena sana......ila akijifungua wengi wao hutumia miaka 2 kulea watot wao maana wao wanaamini mwalimu wa kwanza wa mtoto ni mama......baada ya hapo katoto kakianza kwenda vidudu nawao wanarudi kazin kama kawa....mwanamke wa kijapan kutokufanya kazi ni maamuzi yake na mumewe nasio wengi sana walio katika kundi la kutofanya kazi....
 
mmmmm hayo ni Japan?Je mbona ya Wachina hamsemi?mmmm.Leta ya Wachina bana wao wana du mchana tu eti usiku ni kupumzika na siyo ku du..
 
'Nchi nyingi za Ulaya na Amerika ya Kusini ni kawaida kwa mwanaume kulala chumba kingine na mwanamke kulala chumba Kingine. Jee kibongo bongo inawezekana (kama mna nyumba kubwa) mwanamke kulala chumba tofauti na mumewe? Inaswihii jamani!!?? '

Mbona tunaenda nje ya topic?kulala vyumba tofauti kibongo inakuwaje?
 
hayo mambo ya ku do mpaka mnapotaka babies nasikia ni wayahudi
wale fundamentalist..sijui wajapan....

but culture zingine unagundua kuwa sisi waafrika hasa wanaume tulivyo'bahatika'
ulaya ukimwambia mtu nina wake wawili...anakutazama kama cinema lol

Mkuu una wawili??!!! Dah cant stand sharing my man, can tolerate vingine ila sijui katoka kule ailete huku! Noop
 
Mkuu una wawili??!!! Dah cant stand sharing my man, can tolerate vingine ila sijui katoka kule ailete huku! Noop
kwa hiyo kwako kuna Security kwa mpenzio kulala kwenye chumba kingine na wewe kulala kwingine mnakutana Dinning kwenye chai?
 
unajua maana ya research kwa kuanzia?? kila aina ya utafiti (qulaitative ama quantitative) unakuwa na limitation zake. na hayo ndo mambo yanayotoa ajira kila wakati kwa wenzetu waio wavivu wa kufikiri. ukiona mwenzio kafanya hichi unatafuta gap,unaikuza na inakuweka mjini. ndo maana tukitafuta tiba ya ukimwi (quantitative research), still tutatafuta chanjo na kadhalika zake!
why do we still call them researches?
 
unajua maana ya research kwa kuanzia?? kila aina ya utafiti (qulaitative ama quantitative) unakuwa na limitation zake. na hayo ndo mambo yanayotoa ajira kila wakati kwa wenzetu waio wavivu wa kufikiri. ukiona mwenzio kafanya hichi unatafuta gap,unaikuza na inakuweka mjini. ndo maana tukitafuta tiba ya ukimwi (quantitative research), still tutatafuta chanjo na kadhalika zake!
Labda sijakuelewa, unaposema kwenye qualitative research hakuna generalisation, unakusudia kusema nini?
 
Back
Top Bottom