Kula kwa mamantilie ni risk

Kula kwa mamantilie ni risk

images
images


Biashara ni huduma tu, hakuna uchawi wala nini.

Mfano hai hapo yupo wazi kila anachofanya kinaonekana sasa hapo uchawi umewekwa wapi?
 
Mimi ni mpenzi wa kongoro kabla ya bia. Jee makongoro nayo yanatatizo nihamie kwenye mkia na ulimi ?
 
nyalandu.jpg

WAZIRI ANAPOKULA CHAKULA KWA MAMA LISHE. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akipata chakula cha mchana katika mgahawa wa mamalishe.​

Hahahahaha,Aisee JF noma,yaani watu wana data za hatari,duhhhhhhhhhhh
ahhhh kweli nimekubali.
 
images
images


Biashara ni huduma tu, hakuna uchawi wala nini.

Mfano hai hapo yupo wazi kila anachofanya kinaonekana sasa hapo uchawi umewekwa wapi?

ndugu yangu kuna watu wana mawazo ya kijima sana, hapoukimwambia alete ushahidi anaanza kujiramba mdomo!
 
Mimi napenda kujipikia chakula changu kwangu, huwa sipendi kula kwa mama nitilie au sehemu wanapopika vyakula kiholela.

Hii ni baada ya kugundua asilimia kubwa ya mama nitilie wanatumia ushirikina kwenye biashara zao, na hatimaye kuweka uchafu kwenye vyakula. Yaani utakuta eti ndani ya ubwabwa wamechanganya maji ya maiti au kachanganya mkojo wake wa asubuhi!!! Hii inatia kinyaa sana lakini ndio hivyo.

Kunajamaa yangu wa karibu kanunua maandazi baada yakuanza kula akakutana na nywele kibao ndani ya andazi.

Utakuta mara nyingine anachanganya choo cha mtoto ndani ya chakula ili apate wateja wengi. Hii inatia kinyaa sana.

Baada ya kugundua hivyo niliamua kupika mwenyewe kwangu.

Ni hayo tu.

Mkuu ushirikina upo kila mahali, unaweza kuta nyumba yko ya ibada kuna kondoo alizikwa mzima mzima usiku wa manane,

Huko dukani unapoenda kununua mchele kuna hirizi imetundikwa darini na ndo iliyokuvuta uende apo.

Mazindiko ni kila mahali, hata apo ofisini kwako.

Soma hii habari chini

JENEZA LAKUTWA SOKO KUU MWANZA KIONGOZI WA WAFANYABIASHARA SOKONI HAPO NDIYE MUHUSIKA. ~ g sengo
 
Na tutakula sana...Dunia hii wapi utapata wali wa nazi jumlisha nyama rosti, maharage nazi, chachandu, chainiz vikiwa vya moto vinaipuliwa kwa buku mbili tu.

Dah no comment ndg..
 
Mimi napenda kujipikia chakula changu kwangu, huwa sipendi kula kwa mama nitilie au sehemu wanapopika vyakula kiholela.

Hii ni baada ya kugundua asilimia kubwa ya mama nitilie wanatumia ushirikina kwenye biashara zao, na hatimaye kuweka uchafu kwenye vyakula. Yaani utakuta eti ndani ya ubwabwa wamechanganya maji ya maiti au kachanganya mkojo wake wa asubuhi!!! Hii inatia kinyaa sana lakini ndio hivyo.

Kunajamaa yangu wa karibu kanunua maandazi baada yakuanza kula akakutana na nywele kibao ndani ya andazi.

Utakuta mara nyingine anachanganya choo cha mtoto ndani ya chakula ili apate wateja wengi. Hii inatia kinyaa sana.

Baada ya kugundua hivyo niliamua kupika mwenyewe kwangu.

Ni hayo tu.
Afadhali umeleta hii mada. Wamama wengi wafanyabiashara wanaamini sana ushirikina kuliko sayansi ya ujasiriamali.Wanaamini kwamba huwezi kupata wateja wengi bila 'maarifa' fulani. Kwa hiyo, wanakwenda kwa waganga kutafuta hayo 'maarifa'. Waganga kama kawaida wanatoa hayo 'maarifa/mbinu za biashara.Mama mmoja mwenye kibanda cha nyama choma alikimbiwa na wateja wake wote baada ya mteja mmoja kutonywa kwamba huyo mama baada ya kuleta nyama toka buchani huzigusisha kwenye papuchi yake kabla ya kuchoma.
Ni kweli ndugu, upo ushirikina mwingi sana kwenye biashara za wamama.
Mini binafsi pamoja na kupenda sana vitumbua, sivinunui kwa sababu vingi hutengenezwa na wamama.
Maandazi, chapati, vivyo hivyo, sigusi!
 
Na tutakula sana...Dunia hii wapi utapata wali wa nazi jumlisha nyama rosti, maharage nazi, chachandu, chainiz vikiwa vya moto vinaipuliwa kwa buku mbili tu.

Pale mwanza makoroboi nyuma ya kituo cha polisi kuna mzee mmoja anaitwa "snake " watu wapanga foleni chakula ni buku mbili tu ila anakujazia nyama na msosi wa kitosha yaani mzee snake ni maarufu sana anachinja ngombe mzima anauza kuanzia supu asubuhi nyama za kutosha we acha tu
 
Back
Top Bottom