![]()
WAZIRI ANAPOKULA CHAKULA KWA MAMA LISHE. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akipata chakula cha mchana katika mgahawa wa mamalishe.
natumai hawakujitapisha baadae...
![]()
![]()
![]()
Biashara ni huduma tu, hakuna uchawi wala nini.
Mfano hai hapo yupo wazi kila anachofanya kinaonekana sasa hapo uchawi umewekwa wapi?
Mimi napenda kujipikia chakula changu kwangu, huwa sipendi kula kwa mama nitilie au sehemu wanapopika vyakula kiholela.
Hii ni baada ya kugundua asilimia kubwa ya mama nitilie wanatumia ushirikina kwenye biashara zao, na hatimaye kuweka uchafu kwenye vyakula. Yaani utakuta eti ndani ya ubwabwa wamechanganya maji ya maiti au kachanganya mkojo wake wa asubuhi!!! Hii inatia kinyaa sana lakini ndio hivyo.
Kunajamaa yangu wa karibu kanunua maandazi baada yakuanza kula akakutana na nywele kibao ndani ya andazi.
Utakuta mara nyingine anachanganya choo cha mtoto ndani ya chakula ili apate wateja wengi. Hii inatia kinyaa sana.
Baada ya kugundua hivyo niliamua kupika mwenyewe kwangu.
Ni hayo tu.
Na tutakula sana...Dunia hii wapi utapata wali wa nazi jumlisha nyama rosti, maharage nazi, chachandu, chainiz vikiwa vya moto vinaipuliwa kwa buku mbili tu.
Afadhali umeleta hii mada. Wamama wengi wafanyabiashara wanaamini sana ushirikina kuliko sayansi ya ujasiriamali.Wanaamini kwamba huwezi kupata wateja wengi bila 'maarifa' fulani. Kwa hiyo, wanakwenda kwa waganga kutafuta hayo 'maarifa'. Waganga kama kawaida wanatoa hayo 'maarifa/mbinu za biashara.Mama mmoja mwenye kibanda cha nyama choma alikimbiwa na wateja wake wote baada ya mteja mmoja kutonywa kwamba huyo mama baada ya kuleta nyama toka buchani huzigusisha kwenye papuchi yake kabla ya kuchoma.Mimi napenda kujipikia chakula changu kwangu, huwa sipendi kula kwa mama nitilie au sehemu wanapopika vyakula kiholela.
Hii ni baada ya kugundua asilimia kubwa ya mama nitilie wanatumia ushirikina kwenye biashara zao, na hatimaye kuweka uchafu kwenye vyakula. Yaani utakuta eti ndani ya ubwabwa wamechanganya maji ya maiti au kachanganya mkojo wake wa asubuhi!!! Hii inatia kinyaa sana lakini ndio hivyo.
Kunajamaa yangu wa karibu kanunua maandazi baada yakuanza kula akakutana na nywele kibao ndani ya andazi.
Utakuta mara nyingine anachanganya choo cha mtoto ndani ya chakula ili apate wateja wengi. Hii inatia kinyaa sana.
Baada ya kugundua hivyo niliamua kupika mwenyewe kwangu.
Ni hayo tu.
Na tutakula sana...Dunia hii wapi utapata wali wa nazi jumlisha nyama rosti, maharage nazi, chachandu, chainiz vikiwa vya moto vinaipuliwa kwa buku mbili tu.