Kula kwa mamantilie ni risk

Kula kwa mamantilie ni risk

Mmmmh kweeli? labda wa huko vijijini kwenu maana hapa mjini 1st of all ni usafi na hapo mama ntilie anawasaidizi karibu wa5 na hao wasaidizi ndio mara nyingi ufanya maandalizi saangapi mama wa watu ataweka hayo mambo yako? Mi hata siamini na pia huwa si mpenzi wa mama ntilie nk mi huwa nyama choma ama hivyo vichips sasa navyo sijui vyafanyiwa hivyoo!

i hope ni ke.....kama me ni shiida...
 
Wapo wanaofanya usafi tena wanapika chakula kizuri sana tu. Ila naongelea wale wanaoingiza uchafu kwenye chakula kwa makusudi eti kwa kisingizio cha kupata wateja wengi.

sasa how can u know them
 
Mleta uzi inaonekana umezaliwa masaki, ukasomea upanga, kisha ukaenda nje ya nchi kuchukua digil yako, kazi unafanya bank kuu na unamaisha mazur! Ongela tuache cc tulioZoea maisha hayo.. Mushkru pia Mungu kwa hayo maisha
msamehe buree amejifunza,ila nafikiri hakuwa na nina mbaya
 
i prefer the term ''mama lishe''...mleta mada huna lengo jema kwa hili kundi..very hardworking group..hawafanyi biashara haramu,hawauzi sembe wala kujiuza miili...uovu uvanywao na wachache usiwapake matope kundi zima likaonekana halifai....
images
images
 
nyalandu.jpg

WAZIRI ANAPOKULA CHAKULA KWA MAMA LISHE. Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akipata chakula cha mchana katika mgahawa wa mamalishe.​
 
natumai hawakujitapisha baadae...
IMG_2292.JPG
 
ndio kipato cha wengi wetu kinapogotea....
1.jpg
 
Huwezi kumgundua mshirikina pasi na wewe kuwa kigagula..adhani uikopa chakula sasa umebananishwa unamwaga maneno yasiyofaa...ni insult kwa mama zetu waliotutunza na kutulea kwa biashara hii!
 
Na tutakula sana...Dunia hii wapi utapata wali wa nazi jumlisha nyama rosti, maharage nazi, chachandu, chainiz vikiwa vya moto vinaipuliwa kwa buku mbili tu.

Umeona enheeee si tutaendelea kula tu,ugali nyama buku+maharage na kabeji.
 
Wapo lakini ni wachache sana..
ukimchunguza sana Bata hutomla.
 
Huyu jamaa kamtongoza Mamalishe,sasa hasira zake analeta humu.
Kuna haja ya kuulizana pia,hivi mjini umekuja lini?
Raisi wako wa Nchi mwenyewe alikula mamalishe.

Nataka uje useme Bia yenyewe imewekwa nini.Maana kama limbwata basi imo kwenye Bia.
Dear Gambe,inakutesa lakini bado unaipa heshima.
MAMALISHE OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE,Hatuachi,Tafuta Dem mwingine sio kutongoza mamalishe wakikutosa unaleta issue za Mkoani.
 
Back
Top Bottom