Miss Neddy
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 14,684
- 8,754
Ayo unayoyasema ushawai kuyashuudia...au ni hadithi kama za kawawa funika kikombe.
hahahaha hadithi ya kawawa funika kikombe hivi ilitokeaga kweli?
Ayo unayoyasema ushawai kuyashuudia...au ni hadithi kama za kawawa funika kikombe.
Mimi napenda kujipikia chakula changu kwangu, huwa sipendi kula kwa mama nitilie au sehemu wanapopika vyakula kiholela.
Mimi mwenyewe mama ntilie ,hebu usituharibie biashara. Inawezekana unakula vichochoroni na chini ya miti name vinavyopikwa barabarani kwa nini nywele zisiingie.
Na tutakula sana...Dunia hii wapi utapata wali wa nazi jumlisha nyama rosti, maharage nazi, chachandu, chainiz vikiwa vya moto vinaipuliwa kwa buku mbili tu.
Hatuachi kula mama ntilie ng"o hata wakituwekea mavi.......wewe unadhani nitapata wapi sahani ya ubwabwa kwa buku....au maharage yaliyopikwa kwa mia tatu......nimesema siachiiii.....
wewe nenda kale NYUMBANI LOUNGE.....sahani moja ya ubwabwa inagharimu bajeti yangu ya kutwa nzima.....
Maji ya maiti? Mkuu mbona tunatishana sasa.
sina nia mbaya na mama nitilie ila nina asa shirika la chakula na dawa liangazie macho na kuweka utaratibu ulio bora kwa ajiri ya afya zetu.
Hee! Mkuu mbona ninyi huko mnauziwa gharama sana? Sisi huku kwetu ni 1,200/=-1,500/=
Na tutakula sana...Dunia hii wapi utapata wali wa nazi jumlisha nyama rosti, maharage nazi, chachandu, chainiz vikiwa vya moto vinaipuliwa kwa buku mbili tu.
hahahaha hadithi ya kawawa funika kikombe hivi ilitokeaga kweli?
Hee! Mkuu mbona ninyi huko mnauziwa gharama sana? Sisi huku kwetu ni 1,200/=-1,500/=
Mimi napenda kujipikia chakula changu kwangu, huwa sipendi kula kwa mama nitilie au sehemu wanapopika vyakula kiholela.
Hii ni baada ya kugundua asilimia kubwa ya mama nitilie wanatumia ushirikina kwenye biashara zao, na hatimaye kuweka uchafu kwenye vyakula. Yaani utakuta eti ndani ya ubwabwa wamechanganya maji ya maiti au kachanganya mkojo wake wa asubuhi!!! Hii inatia kinyaa sana lakini ndio hivyo.
Kunajamaa yangu wa karibu kanunua maandazi baada yakuanza kula akakutana na nywele kibao ndani ya andazi.
Utakuta mara nyingine anachanganya choo cha mtoto ndani ya chakula ili apate wateja wengi. Hii inatia kinyaa sana.
Baada ya kugundua hivyo niliamua kupika mwenyewe kwangu.
Ni hayo tu.
Mbona unaharibu biashara ya mama zetu mkuu!!!
Wengine ndio imetusomesha hiyo biashara na leo hii tunajua kusoma, kuandika na hata kufanya kazi za taaluma yetu...
Wamama hawa wanajitahidi kuishi sawasawa na signature yako ya JF; "Ukizaliwa masikini sio kosa lako, bali ukifa masikini ni kosa lako"
Mimi napenda kujipikia chakula changu kwangu, huwa sipendi kula kwa mama nitilie au sehemu wanapopika vyakula kiholela.
Hii ni baada ya kugundua asilimia kubwa ya mama nitilie wanatumia ushirikina kwenye biashara zao, na hatimaye kuweka uchafu kwenye vyakula. Yaani utakuta eti ndani ya ubwabwa wamechanganya maji ya maiti au kachanganya mkojo wake wa asubuhi!!! Hii inatia kinyaa sana lakini ndio hivyo.
Kunajamaa yangu wa karibu kanunua maandazi baada yakuanza kula akakutana na nywele kibao ndani ya andazi.
Utakuta mara nyingine anachanganya choo cha mtoto ndani ya chakula ili apate wateja wengi. Hii inatia kinyaa sana.
Baada ya kugundua hivyo niliamua kupika mwenyewe kwangu.
Ni hayo tu.