Kula Chakula nyumbani.

ha hahaaaaaaaaa swty umeambiwa si kula wali na maharage lol

hapa wenzio wanaongelea kula tunda la uzima!!!!!!!!!!

hahhaha kumbee!!mi nilijua chakula..
afu namshukuru kweli mtoa mada
bila yeye leo nisingetoka lunch.
 
Mie sipendi kula chakula peke yangu bila my husband. Na kama siwi nae karibu ktk mlo basi uwaga ile ham ya kula inakuwa sina.
Ile kumuona my husband anaenjoy chakula nami kuna raha yake ya peke.
Mwanamke lazma ujue mume wako kala wapi na kala nini, akiumwa tumbo je?
sie wanawake tunahofie waume zetu wasile kwa mwanamke mwingine zaidi yetu, ukitoa mama ake mzazi, sister na jamaa.
 
Sasa kama mwanaume hawezi/hapendi kula nyumbani ni kwa nini anaweka chakula nyumbani? anataka nani ale? kama anajijua hapendi kula nyumbani basi aende kula huko anakujua na asilalamike akikuta chakula cha nyumbani kimeshaliwa.
 
To me kula si kipimo cha mapenzi bali kunanogesha penzi,ebu fikiria babako angekuwa hali nyumbani ungejiskiaje?ungemuona sa ngapi akijiramba?akisifia upishi wa mama yako?ungejuaje kama na yy anapenda nyma,pilipili,hapendi chumvi?
Mume kula nyumbani kuna raha sana kwanza anajua ile pesa aloacha ya matumizi kama imetosha au la,pili kile kidogo kilichopo mnaweza kugawana na kwa upendo kikaonekana ni kikubwa sana,
tatu yy ndo mtoto mkubwa nyumbani lazima awe na manners ya kula hme that means inabidi awahi hom,na mwisho wakati nakuwa mama alinifunza kutokula kwa watu so leo ni wajibu wangu kumfunza mume wangu kula nyumbani.

Kwa hiyo tuseme cha kujali ni wapi unakula wala si kule unapopata hamu ya kula, sio?
 
Japo sijui ya ndoani, bt naamini kama umeoa kula nyumbani ni kanuni. Maana mwenyewe kupika ishu so kama mtu kapika nini tena zaidi?.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom