To me kula si kipimo cha mapenzi bali kunanogesha penzi,ebu fikiria babako angekuwa hali nyumbani ungejiskiaje?ungemuona sa ngapi akijiramba?akisifia upishi wa mama yako?ungejuaje kama na yy anapenda nyma,pilipili,hapendi chumvi?
Mume kula nyumbani kuna raha sana kwanza anajua ile pesa aloacha ya matumizi kama imetosha au la,pili kile kidogo kilichopo mnaweza kugawana na kwa upendo kikaonekana ni kikubwa sana,
tatu yy ndo mtoto mkubwa nyumbani lazima awe na manners ya kula hme that means inabidi awahi hom,na mwisho wakati nakuwa mama alinifunza kutokula kwa watu so leo ni wajibu wangu kumfunza mume wangu kula nyumbani.
Hivi bandugu kwa nini wawake wanapenda waume zao WALE nyumbani?
Yaani usipoKULA nyumbani utakuwa umeKULA nje?
Mkigombana ugomvi ukiisha lazima ULE! usipoKULA ugomvi haujaisha!
Akitaka ku-appreciate kitu, lazima atakupa ULE?
Je, KULA ndio kipimo cha mapenzi?
nadhani hamjaelewa "KULA" inayo-ongelewa na mtoa mada...KULA YA KI-KUBWA
Hivi bandugu kwa nini wawake wanapenda waume zao WALE nyumbani?
Yaani usipoKULA nyumbani utakuwa umeKULA nje?
Mkigombana ugomvi ukiisha lazima ULE! usipoKULA ugomvi haujaisha!
Akitaka ku-appreciate kitu, lazima atakupa ULE?
Je, KULA ndio kipimo cha mapenzi?
Hivi bandugu kwa nini wawake wanapenda waume zao WALE nyumbani?
Yaani usipoKULA nyumbani utakuwa umeKULA nje?
Mkigombana ugomvi ukiisha lazima ULE! usipoKULA ugomvi haujaisha!
Akitaka ku-appreciate kitu, lazima atakupa ULE?
Je, KULA ndio kipimo cha mapenzi?
To me kula si kipimo cha mapenzi bali kunanogesha penzi,ebu fikiria babako angekuwa hali nyumbani ungejiskiaje?ungemuona sa ngapi akijiramba?akisifia upishi wa mama yako?ungejuaje kama na yy anapenda nyma,pilipili,hapendi chumvi?
Mume kula nyumbani kuna raha sana kwanza anajua ile pesa aloacha ya matumizi kama imetosha au la,pili kile kidogo kilichopo mnaweza kugawana na kwa upendo kikaonekana ni kikubwa sana,
tatu yy ndo mtoto mkubwa nyumbani lazima awe na manners ya kula hme that means inabidi awahi hom,na mwisho wakati nakuwa mama alinifunza kutokula kwa watu so leo ni wajibu wangu kumfunza mume wangu kula nyumbani.
"Hili jamvi sasa hivi limekuwa la kihuni"
Karibu lunch jombaaa
nadhani hamjaelewa "KULA" inayo-ongelewa na mtoa mada...KULA YA KI-KUBWA
Kula nini?
Hivi bandugu kwa nini wawake wanapenda waume zao WALE nyumbani?
Yaani usipoKULA nyumbani utakuwa umeKULA nje?
Mkigombana ugomvi ukiisha lazima ULE! usipoKULA ugomvi haujaisha!
Akitaka ku-appreciate kitu, lazima atakupa ULE?
Je, KULA ndio kipimo cha mapenzi?
ukitoka hapo una obesity!!!!!!!!!!!!