Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,148
nimeona baadhi ya makaka wakiwa na vifua vikubwa huku sehemu za maziwa zikiwa kubwa tofauti na wanume wengine ningependa kuomba msaada kwa wenye proff zao kutusaidia na kama kuna dawa zakuondoa kuvimba maziwa ni zipi na nini cha kufanya natumaini tutawasaidia wengi sana..
kuna ndugu yangu alikuwa ana matatizo haya ,ila yeye kila akila maziwa ya unga maziwa yanavimba au akila kuku wa kizungu tatizo kubwa la maisha
sasa labda nimeanza wenye sababu za kutokea haya tusaididane
yuleyule
mama yenu mia
kuna ndugu yangu alikuwa ana matatizo haya ,ila yeye kila akila maziwa ya unga maziwa yanavimba au akila kuku wa kizungu tatizo kubwa la maisha
sasa labda nimeanza wenye sababu za kutokea haya tusaididane
yuleyule
mama yenu mia