Kukumbushia kumenicost!!!

Kukumbushia kumenicost!!!

Jamani sasa sie wengine wa 2007 form one si ndio utashangaa zaidi?

Tuvumiliane gen,kikubwa hoja na sio umri.
Mbona wapo wazee humu na wanaandika pumba?
Ww mbona unaeleweka na shudu zako unazoandika hasa kule jukwaa la watu maarufu.
 
Tatizo limeshatokea, ucjipe presha bure, haraf ungekuwa vzur uongee na huyo mdada mkubaliane kabisa kuhusu nn? Cha kufanya ikitokea bahati mbaya huyo mume wake akijua kuwa mimba cyo yake, Pole.
 
Sijaona kosa ila nawew subiri kulea mtoto wa mwanaume mwenzio, kamwe hoho haioteshi mpapai.
 
Yaani mie nawaza unazidi kunikandia.
Yaani wewe bwana.....ulienda kujiachia kwa mapana na marefu kama ilikuwa Mali yako vile na ukasahau wewe ni kibaka! We subiri mwenye Mali ya kwake aje. Naamini jibu utalipata na you will enjoy the show
 
2007 form three...?!!

humu watoto wengi chaaa....

tunawanya huku tunagombania mwendokasi za ubungo....!!!
Ndo maana kuna wakati nasikia harufu za nepi humu, siku nyingine nasikia harufu za maziwa, juzi kati ile na login nakutana na mapampasi kibao, kumbe kumejaa watoto mimi sikujua kabsaaaaaaa.
 
Back
Top Bottom