tena ukome kabisa,, kama ulikula mali za watu kwa kisingizio cha kukumbushia na ulogwe tu upaishwe maana hakuna namna,Yaani mie nawaza unazidi kunikandia.
Inno laka umetuangusha wamasai kwa kitendo chako cha kula mali za watu..Mimi sio mtoto maana mwanangu Wa kwanza yupo darasa LA nne



Kwani umeambiwa JF ni kwa ajili ya wazee mkuu2007 form three...?!!
humu watoto wengi chaaa....
tunawanya huku tunagombania mwendokasi za ubungo....!!!
Mkuu kwa JF ni kwa ajili yenu maajuza na vikongwe tu?mwaka huo nipo ndo namaliza first year chuo kwenda second year kweli tupo na watoto wetu humu
vipi jiwe gizani?!!!Kwani umeambiwa JF ni kwa ajili ya wazee mkuu![]()
![]()
Turudi kwenye topic
Halijanipata mkuu, turudi kwenye madavipi jiwe gizani?!!!
Mwaka huo 2007 mi naanza kazi kampuni moja hivi ya madini huko North Mara..!mwaka huo nipo ndo namaliza first year chuo kwenda second year kweli tupo na watoto wetu humu

Halijanipata mkuu, turudi kwenye mada
Umri mtaaulizana clinic huko.
Asante.pole sana...!!
hata kunawa havijui!!!Mwaka huo 2007 mi naanza kazi kampuni moja hivi ya madini huko North Mara..!
Duh...kweli Jf imevamiwa na watoto wa mwendokasi.![]()
![]()
![]()
arudi shule akasome!Asante.
Mpatie ushauri sasa kijana wako.
Kijana wenu anawaomba ushauri nyie mmejikita kwenye umriMwaka huo 2007 mi naanza kazi kampuni moja hivi ya madini huko North Mara..!
Duh...kweli Jf imevamiwa na watoto wa mwendokasi.![]()
![]()
![]()
Haaa haa haaa kwa ushauri huu nadhani wakati unamaliza form four ndio serikali ilitangaza ufaulu wa division 5arudi shule akasome!

Humu kila mtu mkubwa. Hii ndio JF aiseeKijana wenu anawaomba ushauri nyie mmejikita kwenye umri![]()
![]()
Onyesheni huo ukongwe sasa kwa kumpa ushauri wa busara maana kuishi kwingi kuona mengi.