Kukumbushia kumenicost!!!

Kukumbushia kumenicost!!!

Mwaka huo 2007 mi naanza kazi kampuni moja hivi ya madini huko North Mara..!
Duh...kweli Jf imevamiwa na watoto wa mwendokasi.
Kijana wenu anawaomba ushauri nyie mmejikita kwenye umri

Onyesheni huo ukongwe sasa kwa kumpa ushauri wa busara maana kuishi kwingi kuona mengi.
 
hama haraka sana , jamaa yake akigundua kama ulikuwa unatembea nae, atakutanguliza mbele ya haki
 
Back
Top Bottom