Kukulana mchana vs kukulana usiku

Kukulana mchana vs kukulana usiku

Hivi wakuu
Kati ya kupigana miti mchana vs kupigana miti usiku ipi inanoga?
Game inapigwa muda wowote cha msingi hisia tu.
Nyege zikipanda mnaweza kukiwasha muda wowote na game ikaeleweka iwe asubuhi,mchana,jioni au usiku.
Nafikiri kinacho-athiri ubora wa game:-

i)Usafi wa mwili,mavazi na viungo kama kinywa,uke,uume,pumbu,makalio,kwapa n.k na hii ni kwa wote mwanamke na mwanaume.

ii)Ubunifu na ujuzi wa wachezaji.
Sex positions na upambanaji hasa kumjua mwenzako nikipiga wapi na mapigo gani namalizia shughuli na kumkuna vizuri mwenzio.

iii)Ubora wa kiwanja na utulivu wa nafsi.
Mtu haitakiwi kuwa na stress za madeni,vikoba,uhakika wa kesho yake bila kusahau mazingira mnayofanyia.

iv)Ubora wa viungo vinavyofanya huo mchezo(Size ya uume,kubana kwa uke,kiwango cha utelezi,kiwango cha kutumika au mileage,umri n.k).

v) Endurance na intensity ya bao.Kila mmoja anaweza kucheza kwa muda gani mpaka aridhike au kupata mshindo.
Kuna wa mabao mengi ndani ya muda mfupi na kuna wa bao moja au chache kwa muda mrefu.

vi) Chemistry mnayoiweza kutengeneza kati yenu.Kuna demu ukipiga nae game unasema yes huyu ndo ninayemtaka maana anajua anachokifanya halafu Kuna mwingine unatamani umfukuze aende zake.Mtu badala ya kuzungusha kiuno anazungusha kichwa,ukimweka style hii mara siwezi,kidogo tu analalamika amechoka mara anaanza kukulazimisha ukojoe wakati wewe umeshawaka na unataka umpelekee moto.

Mengine wataongeza wadau.
Mimi nimejaribu tu.
 
Mie sichagui buana, muda wowote tu kinaweza kuwaka 🍑:uwotWater:.

Ila mwandishi amesahau kuweka alfajiri, kuamshwa huku inazamishwa nayo huwa tamu sana 😂😂😂, sasa sijui hiyo inakua kundi la mchana au usiku.
Hakuna ngono tamu kama ya asubuhi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom