Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Hahaaa!!!Kila mkoa unatakiwa kujenga viwanda 100 kwahiyo serikali haina wasiwasi watakaopunguzwa wataajiriwa kwenye hivyo viwanda 100 vinavyojengwa.
Huyu Gabliel sijui anawaza niniVinafungwa vikubwa then vinafunguliwa vidogo kama mashine za kusaga then tunashangilia......
Huyu malaika Mkuu Ni tabu kweli
Naungana na weweNaichukia CCM.
Umesoma hiyo barua?Watu wapuuzi sana! Mfano, unavyosema population ya nchi X inaongezeka (inakuwa) haimaanishi kuwa watu hawafi...pia tunavyoongelea kuwa uchumi unakuwa, haimaanishi kuwa hakuna viwanda vinavyofungwa, kufa au kupunguza wafanyakazi..btw, kupunguza wafanyakazi inawezekana ikawa ni mbinu ya kubadili teknolojia, from Human Intensive to Capital Intensive. Tatizo watanzania huwa tunajifanya tunajua kila kitu,
Yote haya yanatokea kwa sababu yao.Naungana na wewe
Umekula ugali wako huko umevimbiwa,unakuja kuongea shit hapa..patheticKila mkoa unatakiwa kujenga viwanda 100 kwahiyo serikali haina wasiwasi watakaopunguzwa wataajiriwa kwenye hivyo viwanda 100 vinavyojengwa.
Mkuu hawa jamaa plant zote za Tanzania zimekuwa Commissioned between 2007~2014 Dar pamoja na Tanga. Maanake unataka kusema waliweka old technology.Watu wapuuzi sana! Mfano, unavyosema population ya nchi X inaongezeka (inakuwa) haimaanishi kuwa watu hawafi...pia tunavyoongelea kuwa uchumi unakuwa, haimaanishi kuwa hakuna viwanda vinavyofungwa, kufa au kupunguza wafanyakazi..btw, kupunguza wafanyakazi inawezekana ikawa ni mbinu ya kubadili teknolojia, from Human Intensive to Capital Intensive. Tatizo watanzania huwa tunajifanya tunajua kila kitu,
Ufahamu unao kweli, yani wewe unatetea tu bila hoja. Ungesoma kwanza hizo sababu walizozitoa si unaleta tu sababu za kipumbavu.Watu wapuuzi sana! Mfano, unavyosema population ya nchi X inaongezeka (inakuwa) haimaanishi kuwa watu hawafi...pia tunavyoongelea kuwa uchumi unakuwa, haimaanishi kuwa hakuna viwanda vinavyofungwa, kufa au kupunguza wafanyakazi..btw, kupunguza wafanyakazi inawezekana ikawa ni mbinu ya kubadili teknolojia, from Human Intensive to Capital Intensive. Tatizo watanzania huwa tunajifanya tunajua kila kitu,
Kila mkoa unatakiwa kujenga viwanda 100 kwahiyo serikali haina wasiwasi watakaopunguzwa wataajiriwa kwenye hivyo viwanda 100 vinavyojengwa.
Mkuu soma vizuri hilo tangazo, sababu sio mabadiliko ya technology, etc ni Mabadiliko ya Kiuchumi!!Watu wapuuzi sana! Mfano, unavyosema population ya nchi X inaongezeka (inakuwa) haimaanishi kuwa watu hawafi...pia tunavyoongelea kuwa uchumi unakuwa, haimaanishi kuwa hakuna viwanda vinavyofungwa, kufa au kupunguza wafanyakazi..btw, kupunguza wafanyakazi inawezekana ikawa ni mbinu ya kubadili teknolojia, from Human Intensive to Capital Intensive. Tatizo watanzania huwa tunajifanya tunajua kila kitu,