Duh ww aisee mm nipo mabandani hku hao wanahitaji uvumilivu kidgoNinchanganya mwenyewe
Pumba za mahind
Mashudu ya alizet
Dagaa
Premix layer
Mifupa
Wa mayai ya kula au kutotolesha vifarangahawa hapa machotara wa malawi wana miezi saba na week hawatagi nimeweka majogoo wanaowazidi umri wanapandwa week ya tatu sasa ila hakuna cha yai wala nini nafanyeje?
ninaishi kiluvya
Sawa mkuuHawa kuku ukiwaangalia bado ni wadogo kwa kutaga. Subiri mpaka wafikishe miezi sita.
Ila pia angalia ulishaji wa chakula uwape kwa kipimo, ikiwa unawapa kingi watakuwa na mafuta mengi na kutaga itakuwa shida na ukiwapa kidogo nayo pia itachangia kuchelewa kuanza kutaga na hata wakianza watataga machache.
kitu cha kufanya ili ujiridhishe kama wameshaanza kutungisha mayai au bado chinja mmoja umuamgalie.
Wewe mama ficha ujinga wako, kwanza kanyonyeshe kabla kukomenti usivyovijuaTatizo mkijua kutype tu unajihisi unajua kila kitu wakati hamna kitu...jogoo anahusika kuweka mbegu kwenye yai la Kuku jike ili litotolewe likitamiwa sio Kuku jike kutaga acha kukuriri dada
hawa hapa machotara wa malawi wana miezi saba na week hawatagi nimeweka majogoo wanaowazidi umri wanapandwa week ya tatu sasa ila hakuna cha yai wala nini nafanyeje?
ninaishi kiluvya
Je wanaweza kutotoa hao kuku wako wa Kienyeji wasio na jogoo?Ok, jogoo anarutubisha mayai yaweze kutotoleka. Kuku akilishwa vizuri anataga. Mfano mzuri mimi kwa sasa sina jogoo hata moja na nina kuku ni wakienyeji kabisa. Huwa nawapa machanganyiko wa pumba za mahindi na dagaa/unga wa dagaa. wanataga vizuri tu.
Hayo mayai hayatotoleki. Ukitaka kupata vifaranga lazima hyo mayai yawe fertilized na jogoo. Inashauriwa uwiano wa jogoo 1 kwa majike 7.Je wanaweza kutotoa hao kuku wako wa Kienyeji wasio na jogoo?