christopher mkwama
Member
- Aug 16, 2015
- 14
- 2
- Thread starter
- #21
Wanamiez mitano na wiki 2
Hao ni wale wa kisasa wanaotaga tu baada ya kushiba sio hao anaowasema mleta mada wa chotaraKuku anataga bila hata kumjua jogoo
Wataanza kutaga wakifika miezi 6Wanamiez mitano na wiki 2
Dah! Sasa jogoo anamsaidiaje kuku kutunga mayai? kwani kuku machotara wana physiology tofauti na wa kienyeji? unanilet down mkuu.Hao ni wale wa kisasa wanaotaga tu baada ya kushiba sio hao anaowasema mleta mada wa chotara
Kwani mkuu kuku wa kienyeji kutunga na kutaga mayai si ni mpaka apandwe na jogoo,we unajuaje juu ya hili?Dah! Sasa jogoo anamsaidiaje kuku kutunga mayai? kwani kuku machotara wana physiology tofauti na wa kienyeji? unanilet down mkuu.
Ok, jogoo anarutubisha mayai yaweze kutotoleka. Kuku akilishwa vizuri anataga. Mfano mzuri mimi kwa sasa sina jogoo hata moja na nina kuku ni wakienyeji kabisa. Huwa nawapa machanganyiko wa pumba za mahindi na dagaa/unga wa dagaa. wanataga vizuri tu.Mi navyojua mkuu Lepanto ni kuwa kuku wa kienyeji na hata Chotara kutaga ni mpaka apandwe na jogoo
1/4 inakuhusu mkuu si bure, hadi leo hujui uhusiano wa jogoo na jike kutaga?Jogoo wanahusika vipi na mitetea kutaga?
Watu kama wewe jukwaa lenu ni MMU huku mnaingiaga by default ...Qnza kula mmoja mmoja
Tatizo mkijua kutype tu unajihisi unajua kila kitu wakati hamna kitu...jogoo anahusika kuweka mbegu kwenye yai la Kuku jike ili litotolewe likitamiwa sio Kuku jike kutaga acha kukuriri dada1/4 inakuhusu mkuu si bure, hadi leo hujui uhusiano wa jogoo na jike kutaga?
Wanapandwa na jogoo.Hao kuku wako bado ni wadogo kiumri kuhusu kutaga aisee......ila huwa wanapandwa na majogooo?
Pia watengeneze eneo kubwa mara moja moja wawe wanatoka kwenda kucheza na kukaa kwe hilo eneo kwa muda fulani wasiwe bandani tu muda wote!!
Sawa mr chopa ngoja nisubirWataanza kutaga wakifika miezi 6