Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
eeeh bana eeh, nimetimba tabora leo. kuna sehemu nikapelekwa kula kuku wanapaita PPP.. kuku watamu hataree. sasa ambae kashawahi kula wale kuku atupie maujuzi ya kuwaandaa.. sijui wanaeka nini na wenyewe wachoyo wamegoma kunifundisha.
The Boss na Kaunga najua tabora ndo home pengine mna idea na wale kuku. wataalam wa mapishi help me nikirudi mpwapwa niwe nimetoka shavu.
The Boss na Kaunga najua tabora ndo home pengine mna idea na wale kuku. wataalam wa mapishi help me nikirudi mpwapwa niwe nimetoka shavu.
Last edited by a moderator: