ally salu
Member
- Nov 19, 2019
- 55
- 72
- Thread starter
- #81
Duuuh huyu ndo anabalaa lote OG mwanzo mwishoHao mbona wanajulikana muundo wao mkuu
View attachment 1304351
sent use infinix
Duuuh huyu ndo anabalaa lote OG mwanzo mwishoHao mbona wanajulikana muundo wao mkuu
View attachment 1304351
Mkuu huyo kwenye picha ni wa kwakoHao mbona wanajulikana muundo wao mkuu
View attachment 1304351
Nitamuuliza, lakini ni kwenye mahoteli makubwa ama kwa wahindi hasa ndio wateja wakubwa
Hamna ni picha tu nimeidownload ila nawajuaMkuu huyo kwenye picha ni wa kwako
sent use infinix
Hawa kuku ni moja ya sifa yao. Utagaji Ni mdogoMpaka sasa na mitetea mi tatu jogoo mmoja.kwenye hawa majike mmoja analalia kataga mayai ma 5 tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa kuku ni moja ya sifa yao. Utagaji Ni mdogoMpaka sasa na mitetea mi tatu jogoo mmoja.kwenye hawa majike mmoja analalia kataga mayai ma 5 tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unao?Ni mwenyewe, nawafuga wengi tu hapa Dodoma
Kesho pakikucha kama hautajali niwekee picha hapa hapa jamviniNinao.
Nimewaona mkuu,wamenawiri kama maua Rose,vipi sasa gharama ya kuwauza wewe unawauzaje?View attachment 1316642View attachment 1316649View attachment 1316653View attachment 1316656
Sikuwa na lengo la kuuza lakini kupitia hao vifanga ndo nafanya majumuisho ya gharama zao (tiba, chakula na nguvukazi) ili niweze pata bei ya wastani ya kumuuza kuku mmoja
View attachment 1316642
Hao kuku ni wenyewe, wazuri, naweza kusema haujapigwa (ila inategemea na bei uliotoa).
Bei zao hua kuanzia 100,000/= mpaka 300,000/=. Nliwahi kufuga kuchi zamani kidogo.
Hata niwe na bilioni siwezi nunua kuku mmoja kwa hata elfu hamsini...
Naweza kuweweseka kabisa usiku mzima
Kuna jamaa aliobeshwa AZAM TV anauza njiwa pair (dume&jike) 400,000!
Wanaijeria wanasema hii ni BIG SCAM!
Nimefuatilia maelezo sijaona chochote cha maana,huku Masanza Kona na Nyamikoma hiyo casino ya kupiganisha kuchi nitaitoa wapi?
Shinyanga &Tabora 400K ni bei ya ng'ombe mkubwa.
Nikipata kusikia kuwa Zanzibar mambo haya hufanyika sana. Tena huko ku na wateja wakubwa wa kuku hawa.Asante sana mkuu,hivi hapa bongo kuna sehemu pia betting za namna hii hua zinafanyika?