Hawa kuku kaka asili yake Mimi siijui kama ni njee au vip ila ninacho kifahamu ni sifa za kuku wenyewe. mfano wanakua na mdomo mfupi kama wa kasuku hawana viremba,hawana manyoya. Ila anaweza kuwa na sifa zote akawa ni fake. Kwa wafugaji na wanao wanunua wanawajua zaidi Mimi sina uzoefu nao ila nimewanunua kutokana na sifa nilizopewa. Asnte.
Kuku wetu wa asili nina imani unawafahamu, utakutana nao kila mahali.Nieleweshe ndugu naweza kuwa nimechanganya tu ila maana yangu ni kuku wa kiasili
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa nakubali asili yake inaweza kuwa ni India lakini sasa kwa hapa kwetu Tanzania wanapatikana au Hawapo kabisa.Kuku wetu wa asili nina imani unawafahamu, utakutana nao kila mahali.
Hao unaowataja hapo Kuchi hawana asili ya Tanzania, 'nasikia' asili yake ni India.
Sawa,ukishamnunua kwa bei kubwa sana then faida yake hasa ni nini?Sifa yao kubwa ni kuku anayeauzwa kwa bei kubwa sana.
Hawa ni kuku wa biashara kama unasehemu ya kumuuza kwa bei kubwa zaidi hiyo ndo faida yako ww. Ila wengi wananunua wakafuge wazalishe faida nyingi zaidiSawa,ukishamnunua kwa bei kubwa sana then faida yake hasa ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hutumika kwenye michezo ya kamari za wakubwa, kupiganisha kuku. Hii hufanyika kwenye makasino na mahoteli makubwa, BETTINGSawa,ukishamnunua kwa bei kubwa sana then faida yake hasa ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana mkuu,hivi hapa bongo kuna sehemu pia betting za namna hii hua zinafanyika?Hutumika kwenye michezo ya kamari za wakubwa, kupiganisha kuku. Hii hufanyika kwenye makasino na mahoteli makubwa, BETTING
Sent from my SM-T355Y using Tapatalk
Asante sana mkuu kwa maelezo.Hawa ni kuku wa biashara kama unasehemu ya kumuuza kwa bei kubwa zaidi hiyo ndo faida yako ww. Ila wengi wananunua wakafuge wazalishe faida nyingi zaidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa kaka bora azeeke mpaka ashindwe kutembea akae kabisa ndo ataliwa. maana ukiwafata wanao wafuga ununue yai 1 ni elfu kumi kifaranga cha wiki 3 ni elf50 na anaongea mara moja tu.Katika vitu nisivyovipenda ni pamoja na hawa kuchi.
Yaani unakuta kijogoo cha kuchi eti kinauzwa laki mbili, unajiuliza nyama yake ina tv ndani?.
Ila ndugu huyo ni kuchi sema ameshazeeka, na akitokea anaemtaka utamuuzia laki na nusu na wewe utaenda kununua majogoo saba makubwa kwa elfu ishirini, pia sio vibaya ukiamua kumla. Ila utambue ukimla ni sawa na umekula mbuzi. Kupanga ni kuchagua na uamuzi ni wako
MATAGA
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama nilivyosema mwanzo tukipata mtu anayewajua zaidi kupita kiasi atatoa ucafanuzi mzuri zaidi. Ila chafaida chenye utofauti na kuku wengine. Hawapatwi naagonjwa hovyo. Nyama yake inavimba kupita maelezo. Kingine nachokijua ata akiwa mdogo anauzito wa ajabuMe napenda kujua wana kipi cha ziada tofauti na hawa wa kienyeji tulio wazoea.
Utagaji
Ukuaji.
Umbo (uzito)
Ladha
N.k.
Nashindwaga kuelewa kipi kinawapa uspecial. Au ni huo utolu wao?