GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,292
- 6,772
Nina kanga mmoja tu jike, sasa nashangaa jogoo anataka kumpanda huyu
Kanga, Kama kafanikiwa sijaona maana nimechoka kusubiria.
Ninachouliza kwenu wadau, hivi ikitokea kuwa hivyo ni ndege aina gani watazaliwa?
Sitaki kabisa kuamini kabisa maneno ya jirani yangu kuwa kuna uwezekano
akatotoa Nyoka, najua haiwezekani.
Kanga, Kama kafanikiwa sijaona maana nimechoka kusubiria.
Ninachouliza kwenu wadau, hivi ikitokea kuwa hivyo ni ndege aina gani watazaliwa?
Sitaki kabisa kuamini kabisa maneno ya jirani yangu kuwa kuna uwezekano
akatotoa Nyoka, najua haiwezekani.