3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 4,876
- 13,548
Kumbe huku mtaani tunatandikwa vibaya nilinunua mayai kutotoleshaeeh bana eeh vifaranga vimetoka vizuri tu ila havikui vipo vilevile
Uzao wa kwanza ni ngumu mno kupata kwa kuku chotara - huku mtaani ni vurugu tupu na ndiyo maana kuku wanapata magonjwa ambayo kuyatibu ni kitendawili.Kumbe huku mtaani tunatandikwa vibaya nilinunua mayai kutotoleshaeeh bana eeh vifaranga vimetoka vizuri tu ila havikui vipo vilevile
Basi mi Nina bahati miezi minne tu walianza kutetea mitano wakaanza kutaga na wala hawaumwi umwiKumbe huku mtaani tunatandikwa vibaya nilinunua mayai kutotoleshaeeh bana eeh vifaranga vimetoka vizuri tu ila havikui vipo vilevile
F1 maana yake ni Filial (generation) 1 kama sikosei. Ni terminology ya breeding.ana maanisha fertile One yeye anaita F0, ambayo ndiyo F1.
Yaaan humu mtadanganya Sana kuhusu hizo generation za kuku ila ukioona kuku akui ujue huyooo ni hata F10
Silver land mfano kwa sasso wana Parents stock hivyo unapata F1Uzao wa kwanza ni ngumu mno kupata kwa kuku chotara - huku mtaani ni vurugu tupu na ndiyo maana kuku wanapata magonjwa ambayo kuyatibu ni kitendawili.
Kuku ambao huwezi kuwachezea chezea ni wale wa mayai tu - wale ni lazima wawe F1 na hawana uzazi.
Kupata F1 ni lazima ununue kwa Wazalishaji wakubwa na sio mtaani mtu ana incubator yake, Parents stock ni ghaeama sana kuwanunua na kuwatunzaKumbe huku mtaani tunatandikwa vibaya nilinunua mayai kutotoleshaeeh bana eeh vifaranga vimetoka vizuri tu ila havikui vipo vilevile
Mkuu F1 wanatoka kwa Parents stock ambao kwa Kurouler wamiliki wa Parents stock wako India Keg Farm.ntakuchukulia kwenye kampuni ya wachina wapo mkuranga, unataka wangapi nikuletee