Kuku aina ya Kuroiler F1 wanapatikana wapi?

Kumbe huku mtaani tunatandikwa vibaya nilinunua mayai kutotoleshaeeh bana eeh vifaranga vimetoka vizuri tu ila havikui vipo vilevile
Uzao wa kwanza ni ngumu mno kupata kwa kuku chotara - huku mtaani ni vurugu tupu na ndiyo maana kuku wanapata magonjwa ambayo kuyatibu ni kitendawili.

Kuku ambao huwezi kuwachezea chezea ni wale wa mayai tu - wale ni lazima wawe F1 na hawana uzazi.
 
Yaaan humu mtadanganya Sana kuhusu hizo generation za kuku ila ukioona kuku akui ujue huyooo ni hata F10
 
ana maanisha fertile One yeye anaita F0, ambayo ndiyo F1.
F1 maana yake ni Filial (generation) 1 kama sikosei. Ni terminology ya breeding.

Mfano unao wazee Mama na Baba = Parents
Mtoto = F1 . Mtoto akioa/olewa na akipata mtoto (mjukuu) atakuwa F2.
 
Uzao wa kwanza ni ngumu mno kupata kwa kuku chotara - huku mtaani ni vurugu tupu na ndiyo maana kuku wanapata magonjwa ambayo kuyatibu ni kitendawili.

Kuku ambao huwezi kuwachezea chezea ni wale wa mayai tu - wale ni lazima wawe F1 na hawana uzazi.
Silver land mfano kwa sasso wana Parents stock hivyo unapata F1
 
Kumbe huku mtaani tunatandikwa vibaya nilinunua mayai kutotoleshaeeh bana eeh vifaranga vimetoka vizuri tu ila havikui vipo vilevile
Kupata F1 ni lazima ununue kwa Wazalishaji wakubwa na sio mtaani mtu ana incubator yake, Parents stock ni ghaeama sana kuwanunua na kuwatunza
 
ntakuchukulia kwenye kampuni ya wachina wapo mkuranga, unataka wangapi nikuletee
Mkuu F1 wanatoka kwa Parents stock ambao kwa Kurouler wamiliki wa Parents stock wako India Keg Farm.

Ili upate F1 lazima lazima ununue Parents stock kutoka India na si vinginevyo
 
Back
Top Bottom