Kuku aina ya Kuroiler F1 wanapatikana wapi?

OIL CHAFU

JF-Expert Member
Jun 8, 2012
996
772
Nahitaji kujua wapi naweza kupata kuku aina ya kuroiler ambapo naweza kupata vifaranga wa F1. hii ina maana huyo supplier yeye awe na Parent stock ya F0.

Location iwe kati ya Morogoro, Iringa au Dodoma
 
Kuroiler F1 huwezi kupata kwa mikoa hiyo uliyotaja, utapata f2 na kuendelea.

Kama unataka F1 pure agiza Dar kampuni mbili tu KUKU PROJECT NA AKM GLITTERS japokuwa hawa akm bado hawajaanza batch ya kutoa vifaranga.
 
Kuroiler F1 huwezi kupata kwa mikoa hiyo uliyotaja, utapata f2 na kuendelea.
Kama unataka F1 pure agiza Dar kampuni mbili tu KUKU PROJECT NA AKM GLITTERS japokuwa hawa akm bado hawajaanza batch ya kutoa vifaranga.
Asante sana Mkuu nitaufanyia kazi ushauri wako.
 
Ukihitaji namba zao nipm nitakutumia.

Ila kama unataka kweli kuroiler F1 basi makampuni hayo pekee ndiyo yamepewa kibali na wizara cha kuingiza mayai kwa ajili ya parent stock kwa hiyo hakuna kampuni nyingine ya kuroiler watakaokupa f1 pure
 
Ukihitaji namba zao nipm ntakutumia
Ila kama unataka kweli kuroiler F1 basi makampuni hayo pekee ndiyo yamepewa kibali na wizara cha kuingiza mayai kwa ajili ya parent stock kwa hiyo hakuna kampuni nyingine ya kuroiler watakaokupa f1 pure
Nimeingia chap mtandaoni nimeshapata namba zao na pia nimeingia youtube kucheki profile zao. barikiwa sana,
Unajua huku mtaani tunadanganywa sana. mtu anakuambia ana F2, lakini kumbe ni F3 unachukua vifaranga unakuta hawakui vizuri na hawakupi matokeo tarajiwa
 
Nimeingia chap mtandaoni nimeshapata namba zao na pia nimeingia youtube kucheki profile zao. barikiwa sana,
Unajua huku mtaani tunadanganywa sana. mtu anakuambia ana F2, lakini kumbe ni F3 unachukua vifaranga unakuta hawakui vizuri na hawakupi matokeo tarajiwa
Vizuri mkuu
 
Nahitaji kujua wapi naweza kupata kuku aina ya kuroiler ambapo naweza kupata vifaranga wa F1. hii ina maana huyo supplier yeye awe na Parent stock ya F0.

Location iwe kati ya Morogoro, Iringa au Dodoma
Tofauti kati ya f1 f2 na f3 ni IPI?
 
Nahitaji kujua wapi naweza kupata kuku aina ya kuroiler ambapo naweza kupata vifaranga wa F1. hii ina maana huyo supplier yeye awe na Parent stock ya F0.

Location iwe kati ya Morogoro, Iringa au Dodoma
Tofauti kati ya f1 f2 na f3 ni IPI?
 
Ukihitaji namba zao nipm ntakutumia
Ila kama unataka kweli kuroiler F1 basi makampuni hayo pekee ndiyo yamepewa kibali na wizara cha kuingiza mayai kwa ajili ya parent stock kwa hiyo hakuna kampuni nyingine ya kuroiler watakaokupa f1 pure

Tofauti kati ya f1 f2 na f3 ni IPI?
Kwanza unataiwa kujua kabla ya F1 kuna parent stock au F0 (F zero). Kwa kuroiler hawa wanapatikana kwa kufanya cross breed lati ya broiler na layer. Then hao F0 wakitaga na mayai kutotoleshwa ndo unapata uzao wa kwanza F1 . Watoto wa F1 wanaitwa F2. Kama hujaelewa lipia twisheni
 
Kuroiler F1 huwezi kupata kwa mikoa hiyo uliyotaja, utapata f2 na kuendelea.

Kama unataka F1 pure agiza Dar kampuni mbili tu KUKU PROJECT NA AKM GLITTERS japokuwa hawa akm bado hawajaanza batch ya kutoa vifaranga.
Kuku Project wana F1?
 
Kwanza unataiwa kujua kabla ya F1 kuna parent stock au F0 (F zero). Kwa kuroiler hawa wanapatikana kwa kufanya cross breed lati ya broiler na layer. Then hao F0 wakitaga na mayai kutotoleshwa ndo unapata uzao wa kwanza F1 . Watoto wa F1 wanaitwa F2. Kama hujaelewa lipia twisheni
F0 ndo nini? Kuna Grand Parents then F1
 
Kwanza unataiwa kujua kabla ya F1 kuna parent stock au F0 (F zero). Kwa kuroiler hawa wanapatikana kwa kufanya cross breed lati ya broiler na layer. Then hao F0 wakitaga na mayai kutotoleshwa ndo unapata uzao wa kwanza F1 . Watoto wa F1 wanaitwa F2. Kama hujaelewa lipia twisheni
Una uhakika F1 ya Kuroiler ni cross breed ya Layers na Broiler?
 
Nahitaji kujua wapi naweza kupata kuku aina ya kuroiler ambapo naweza kupata vifaranga wa F1. hii ina maana huyo supplier yeye awe na Parent stock ya F0.

Location iwe kati ya Morogoro, Iringa au Dodoma
ntakuchukulia kwenye kampuni ya wachina wapo mkuranga, unataka wangapi nikuletee
 
Back
Top Bottom