Kukosekana kwa vipaji CCM ni tatizo

Kukosekana kwa vipaji CCM ni tatizo

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,589
Reaction score
14,912
Yaani kupata watu ambao wanapedwa kweli CCM hii ni ngumu sana na ndiyo kitu wanachozidiwa na Chadema na hawapati namna. Viongozi wengi wameingia kwa rushwa na sio kupedwa kama zamani. . Ndiyo maana CCM imechuja na njia pekee ya kushinda ni wizi.

Nani leo hii anaweza kufananishwa na majembe ya Chadema kwa kupendwa kihalisia😳
 
Mkuu Mbona Mama yetu anapendwa saana na machawa......


Ukiona nguvu kubwa inatumika kumnadi mgombea ujue hauziki...

Ukiuliza why Mama,
Mfano

Utaambiwa ameleta billion hamsini tanga. Enhe mbona Mimi sijaona impact ya hizo billion hamsini tanga...

Wanaanza blah blah....
 
Yaani kupata watu ambao wanapedwa kweli CCM hii ni ngumu sana na ndiyo kitu wanachozidiwa na Chadema na hawapati namna. Viongozi wengi wameingia kwa rushwa na sio kupedwa kama zamani. . Ndiyo maana CCM imechuja na njia pekee ya kushinda ni wizi.

Nani leo hii anaweza kufananishwa na majembe ya Chadema kwa kupendwa kihalisia😳
Out of factual....

CCM ni imani....wanachama wake nguli wanakuzwa kupitia madarasa ya itikadi......hilo huwezi kulipata nje yake sembuse CHADEMA ?!!

Siasa za CCM zinaendana na umbile la TAIFA HIKI....usiwe mjinga......

CCM imesheni vipaji ,ikiongozwa na kipaji SAMIA SULUHU HASSAN.....

Kamwe huna uwezo wa kuyajua mambo makubwa na takatifu ya taifa hili....

KALAGHABAHO
 
Out of factual....

CCM ni imani....wanachama wake nguli wanakuzwa kupitia madarasa ya itikadi......hilo huwezi kulipata nje yake sembuse CHADEMA ?!!

Siasa za CCM zinaendana na umbile la TAIFA HIKI....usiwe mjinga......

CCM imesheni vipaji ,ikiongozwa na kipaji SAMIA SULUHU HASSAN.....

Kamwe huna uwezo wa kuyajua mambo makubwa na takatifu ya taifa hili....

KALAGHABAHO
Hata utetee vipi ukweli tunaujua wacha kujizima data.
 
Yaani kupata watu ambao wanapedwa kweli CCM hii ni ngumu sana na ndiyo kitu wanachozidiwa na Chadema na hawapati namna. Viongozi wengi wameingia kwa rushwa na sio kupedwa kama zamani. . Ndiyo maana CCM imechuja na njia pekee ya kushinda ni wizi.

Nani leo hii anaweza kufananishwa na majembe ya Chadema kwa kupendwa kihalisia😳
We mwehu una kipaji cha nini zaidi ya huu uzezeta? Nani mwenye kipaji huko Chadomo. Nyie ni mazuzu yasiyojitambua
 
CCM watu wenye kaliba ya vipaji wapo wengi tu labda ujatenga muda wa kuwafuatilia na kusikiliza hoja zao.

Upofu wa kuangalia chama chako ndiyo umekupelekea kwenye fikra hasi kwa CCM.

HILI KWA VYAMA VYOTE.

Ili upate fahamika lazima ulambe miguu ya watu sana kiasi kwamba wengine wanaweza hisi wewe ni kichaa, lakini watu makini wapo wengi sana CCM tena wenye hoja za msingi katika kulivusha Taifa hili.
 
Mkuu Mbona Mama yetu anapendwa saana na machawa......


Ukiona nguvu kubwa inatumika kumnadi mgombea ujue hauziki...

Ukiuliza why Mama,
Mfano

Utaambiwa ameleta billion hamsini tanga. Enhe mbona Mimi sijaona impact ya hizo billion hamsini tanga...

Wanaanza blah blah....
Chawa ni wadudu wanaoishi kwenye uchafu.
 
Out of factual....

CCM ni imani....wanachama wake nguli wanakuzwa kupitia madarasa ya itikadi......hilo huwezi kulipata nje yake sembuse CHADEMA ?!!

Siasa za CCM zinaendana na umbile la TAIFA HIKI....usiwe mjinga......

CCM imesheni vipaji ,ikiongozwa na kipaji SAMIA SULUHU HASSAN.....

Kamwe huna uwezo wa kuyajua mambo makubwa na takatifu ya taifa hili....

KALAGHABAHO

Inapendwa na machawa hapo tutakubaliana
 
Yaani kupata watu ambao wanapedwa kweli CCM hii ni ngumu sana na ndiyo kitu wanachozidiwa na Chadema na hawapati namna. Viongozi wengi wameingia kwa rushwa na sio kupedwa kama zamani. . Ndiyo maana CCM imechuja na njia pekee ya kushinda ni wizi.

Nani leo hii anaweza kufananishwa na majembe ya Chadema kwa kupendwa kihalisia😳
Ahahahahaha! Eti kupendwa kihalisia! Kwani siasa ni danguro au watu wanatafuta wachumba?
 
Hii nayo imeniliza sana.

Wasomi madokta vijana kwa wazee wapo CCM

Wana mikakati Bora wapo CCM

VIjana jasiri na shupavu wapo CCM
Duu hata majasiri wa ufisadi wapo CCM, tume za kuchunguza ufisadi zinaundwa nyuma ya mikamera majibu nyuma ya pazia kikikiki
 
Out of factual....

CCM ni imani....wanachama wake nguli wanakuzwa kupitia madarasa ya itikadi......hilo huwezi kulipata nje yake sembuse CHADEMA ?!!

Siasa za CCM zinaendana na umbile la TAIFA HIKI....usiwe mjinga......

CCM imesheni vipaji ,ikiongozwa na kipaji SAMIA SULUHU HASSAN.....

Kamwe huna uwezo wa kuyajua mambo makubwa na takatifu ya taifa hili....

KALAGHABAHO
Itikadi ya ccm sehemu kubwa ni ya kizee, na mbeleko ya vyombo vya dola ndio kinga yao pekee. Siasa zikifanywa kwa nguvu ya ushawishi wa kisiasa, ccm ni kama TLP.
 
Itikadi ya ccm sehemu kubwa ni ya kizee, na mbeleko ya vyombo vya dola ndio kinga yao pekee. Siasa zikifanywa kwa nguvu ya ushawishi wa kisiasa, ccm ni kama TLP.
.... itikadi ya vyama inatoka na asili ya nchi zenyewe....

Itikadi siku zote huwa ni ya KIZEE ili kulinda YASIYOTAKIWA KUBADILIKA HATA PUNJE.....

Hebu kurupuka na ufute hilo dovuo la usingizi wako wa pono !!
 
Back
Top Bottom