Kukosekana kwa Mfumo wa Uchumi kwatupelekea kuwa na 'Mtwara Corridor' vs 'Bagamoyo Corridor'

good analysiss....yaani kuhusu hii bandari ya bagamoyo ni kichekesho cha dunia...huwezi kuacha kuijenga bandari ya mtwara ambayo tayari ilishajijenga yenyewe na kupambana kuanza kuchimbua bandari mfu kwa matrilioni ya fedha...hii ni aibu kwa kweli...kikwete ana madhaifu sana katika hili,hii ni failure kubwa na itakayo wagharimu watanzania eternally...

na ndo maana analilia gas ipelekwe bagamoyo...stupid leader

Nadhani ulimaanisha matrilioni ya mkopo, ambayo yatalipwa kwa jasho na uchungu...
 
HU NI UWONGO:
Mradi wa Mtwara Corridor haujasimamishwa. Tusiandike kwa malengo ya kutaka kuoneka tu hodari wa kuchallenge serikali! Tangu wanaharakati walipolishupalia suala la gesi, viongozi na wataalam mbalimbali (akiwemo Rais) wametoa ufafanuzi juu ya maendeleo ya mradi leo hii watu bado mnapotosha mmetumwa na nani?
Imeelezwa bandari ya Mtwara ndio lango kuu la usafirishaji wa gesi, Saruji, madini ya chuma, Urani na mitambo ya uchimbaji wa madini. Mkataba ya upanuzi imesainiwa na mnataka nini?
Ujenzi wa Barabara toka Mtwara hadi Mbambabay unaoendelea hamuuoni?
Mikataba ya uwekezaji ktk kuchimba chuma na makaa ya mawe na makampuni yanainjika mitambo hamuoni/hatutaki kuona? Juzi tulikuwa tunalalamikia hofu ya mikataba hii leo wanaibuka watu humu wanadai mipango hiyo haipo kabisa!
Mimi naamini mpango mmoja wa maendeleo hausimamishi kubuni mopango mingine hivyo tulete hoja zenye ukweli sio kupotosha Zisizo na utafiti.

ndio imeelezwa kama unanyosema lkn kiukweli mtwara corrodor ipo kwnye maandishi tu utekelezaki wake ni changa la macho. we kaa uone. hv haujui kama mtwara corrido yenyewe inazungumzwa sana sasa baada ya watu wa mtwara kukomaa kuwa gasi haitoki? mtoa uzi tunakupongeza endelea kutuletea chambuzi zingine za kiuchumi? hawa wanaobisha ni wachumia matumbo yao.
 
Kuhamisha resources kuzitoa Dar na kuzipeleka Bagamaoyo ni ujinga mkubwa sana kwa vile hakuna jipya linalotokea. Makontainer yatatoka Bagamoyoa na kuja Dar ili yasafirishwe na central, Tazar au malori kupitia Morogoro road.

Hata hivyo, hayo ndiyo mawazo ya kiongozi tuliyemwamini atuongezi itabidi tukubaliane nayo.

Mradi wa Mtwara ulikuwa ni mradi wa maana sana kiuchumi kwa Taifa, badala ya kujenga Bagamoyo, serikali ingekamilisha huo mradi w Mtwara, kuimarisha ule wa Tanga, na halafu kuimarisha huu wa Dar. Kulikuwa na uwezekano mkubwa sana kupanua bandaru ya Dar ikawa na concourses kadhaa kusini na kasakazini mwa Dar. Huu wa bagamaoyo, ndiyo hivyo tumeshaliwa!

Mojawapo na mapungufu makubwa kwenye utaratibu wetu ni kuwa maamuzi mazito haya huwa hayafanywi na bunge kwa hiyo yanakuwa hayana nguvu yoyote ya kisheria; kila kiongozi atakayekuja anaweza kuyafuta bila tatizo lolote.
 
Matatizo ya nchi yetu ni makubwa kuliko JK kuhamishia kila kitu Bagamoyo...

Mfano humu JF watu hawajadili kabisa hoja za kiuchumi na zenye maslahi ya taifa kama hizi. Huwezi ukaona mtu kama ZeMarcopolo, TandaleOne au Ng'wamapalala wanatoa mawazo yao kwenye hoja za kiuchambuzi zenye maslahi mapana kwa taifa kama hizi. Wao wanapenda zile za akina Mbatia kaonesha mfano kwa kushiriki uokoaji. Kama taifa tuna matatizo makubwa sana. ndio maana kwa sasa nchi yetu ndio ya hovyo hovyo kuliko nchi zote duniani. Hakuna vitu vinavyofanyika kwa mipango, kila kitu hovyo hovyo.

Uhovyo hovyo na subjectivity ya watanzania ndio umesababisha hata akina JK kufikiri maendeleo ni Bagamoyo. Maeneo kama Bagamoyo na Kibaha ambayo ni karibu sana na Dar ni vigumu sana kupata maendeleo kwa kuwa fursa zozote za kiuchumi katika sekta binafsi zinalipa zaidi Dar na ni karibu. Ni vigumu kukuza sekta binafsi Bagamoyo na Kibaha, JK amebakiza miaka miwili, akitoka atakayeingia atapiga chini miradi yake tutabakia na WHITE ELEPHANT PORT

Mtwara corridor ni suluhisho la kiuchumi la watanzania. Yeyote atakayekuwa rais 2015 lazima ataanza na Mtwara corridor kwa kuwa ndio future ya uachumi wa Tanzania
 
HU NI UWONGO:
Mradi wa Mtwara Corridor haujasimamishwa. Tusiandike kwa malengo ya kutaka kuoneka tu hodari wa kuchallenge serikali! Tangu wanaharakati walipolishupalia suala la gesi, viongozi na wataalam mbalimbali (akiwemo Rais) wametoa ufafanuzi juu ya maendeleo ya mradi leo hii watu bado mnapotosha mmetumwa na nani?
Imeelezwa bandari ya Mtwara ndio lango kuu la usafirishaji wa gesi, Saruji, madini ya chuma, Urani na mitambo ya uchimbaji wa madini. Mkataba ya upanuzi imesainiwa na mnataka nini?
Ujenzi wa Barabara toka Mtwara hadi Mbambabay unaoendelea hamuuoni?
Mikataba ya uwekezaji ktk kuchimba chuma na makaa ya mawe na makampuni yanainjika mitambo hamuoni/hatutaki kuona? Juzi tulikuwa tunalalamikia hofu ya mikataba hii leo wanaibuka watu humu wanadai mipango hiyo haipo kabisa!
Mimi naamini mpango mmoja wa maendeleo hausimamishi kubuni mopango mingine hivyo tulete hoja zenye ukweli sio kupotosha Zisizo na utafiti.

Mkuu si unajua hawa jamaa kazi ni kupinga tu ndiyo kauli mbiu yao wanakubaliana kila uongo.
 
HU NI UWONGO:
Mradi wa Mtwara Corridor haujasimamishwa. Tusiandike kwa malengo ya kutaka kuoneka tu hodari wa kuchallenge serikali! Tangu wanaharakati walipolishupalia suala la gesi, viongozi na wataalam mbalimbali (akiwemo Rais) wametoa ufafanuzi juu ya maendeleo ya mradi leo hii watu bado mnapotosha mmetumwa na nani?
Imeelezwa bandari ya Mtwara ndio lango kuu la usafirishaji wa gesi, Saruji, madini ya chuma, Urani na mitambo ya uchimbaji wa madini. Mkataba ya upanuzi imesainiwa na mnataka nini?
Ujenzi wa Barabara toka Mtwara hadi Mbambabay unaoendelea hamuuoni?
Mikataba ya uwekezaji ktk kuchimba chuma na makaa ya mawe na makampuni yanainjika mitambo hamuoni/hatutaki kuona? Juzi tulikuwa tunalalamikia hofu ya mikataba hii leo wanaibuka watu humu wanadai mipango hiyo haipo kabisa!
Mimi naamini mpango mmoja wa maendeleo hausimamishi kubuni mopango mingine hivyo tulete hoja zenye ukweli sio kupotosha Zisizo na utafiti.

Kama huu ni uwongo basi hakuna ukweli...

Serikali yoyote makini ingeweka kipaumbele kuendeleza sehemu zenye rasilimali ili rasilimali hizo ziendeleze nchi nzima. Mtwara corridor ina GESI, ina URANIUM, ina MAKAA YA MAWE, ina GYPSUM, ina CHUMA, ina MBUGA YA WANYAMA, ina BANDARI. Sasa Mungu akupe nini zaidi ya hapo. Kilichotakiwa kufanyika ni kuzifungua hizo rasilimali na dunia kwa gharama yoyote. Mapato ya hizo rasilimali yanaibadili Tanzania.

Kosa kubwa la watanzania ni kuiweka madarakani CCM yenye viongozi wasio na upeo, viongozi wachoyo, wabinafsi na wanaoamini kuwa maendeleo ya nchi hii yataletwa na wageni. Sisi watanzania tukae tunasubiri hadi wageni waje kutujengea reli na barabara za kusafirisha hizo rasilimali. Watu wa pwani kama Kikwete sio RISK TAKERS.
Cha kufurahia ni kuwa Bagamoyo corridor itaikosesha kura CCM za watu wa Lindi, Mtwara, na Tanga ambako ni ngome ya CCM kwa muda mrefu. Well done JK kwa kuzidi kuitumbukiza CCM kaburini.
 
Kama huu ni uwongo basi hakuna ukweli...

Serikali yoyote makini ingeweka kipaumbele kuendeleza sehemu zenye rasilimali ili rasilimali hizo ziendeleze nchi nzima. Mtwara corridor ina GESI, ina URANIUM, ina MAKAA YA MAWE, ina GYPSUM, ina CHUMA, ina MBUGA YA WANYAMA, ina BANDARI. Sasa Mungu akupe nini zaidi ya hapo. Kilichotakiwa kufanyika ni kuzifungua hizo rasilimali na dunia kwa gharama yoyote. Mapato ya hizo rasilimali yanaibadili Tanzania.

Kosa kubwa la watanzania ni kuiweka madarakani CCM yenye viongozi wasio na upeo, viongozi wachoyo, wabinafsi na wanaoamini kuwa maendeleo ya nchi hii yataletwa na wageni. Sisi watanzania tukae tunasubiri hadi wageni waje kutujengea reli na barabara za kusafirisha hizo rasilimali. Watu wa pwani kama Kikwete sio RISK TAKERS.
Cha kufurahia ni kuwa Bagamoyo corridor itaikosesha kura CCM za watu wa Lindi, Mtwara, na Tanga ambako ni ngome ya CCM kwa muda mrefu. Well done JK kwa kuzidi kuitumbukiza CCM kaburini.

Badala ya kujadili mada unakuja na fikra zako kuwa Lindi, Tanga, Mtwara, watainyima kura CCM, unajidanganya sana CCM kura zao zipo kila mkoa.
 
huyu jamaa anasema MTwara corridor inatekelezwa ili tu ionekane watu wanaolaumu Bandari ya BAgamoyo ni machizi, nimwambie tu huyu jamaa kwamba nchi ni ya watanzania wote na tuna uchungu na mambo yanayoendelea(upendeleo wa uchumi kikanda),kubali usikubali, mtwara corridor imeuwawa na kikwete ndio muuaji namba mboja. mtu yeyote mwenye akili timamu atasema si sahihi kujenga bandari kubwa bagamoyo kuacha mtwara na Tanga.

Huo ni mtazamo wako, na si utafiti wako. wachumi wanajua Bandari Salama ndio na itaendelea kuwa bandari kuu, upanuzi wake hauwezi kuendelea kuwa Kurasini. Kupunguza msongamano Bagamoyo ni suluhisho!!
 
HU NI UWONGO:
Mradi wa Mtwara Corridor haujasimamishwa. Tusiandike kwa malengo ya kutaka kuoneka tu hodari wa kuchallenge serikali! Tangu wanaharakati walipolishupalia suala la gesi, viongozi na wataalam mbalimbali (akiwemo Rais) wametoa ufafanuzi juu ya maendeleo ya mradi leo hii watu bado mnapotosha mmetumwa na nani?
Imeelezwa bandari ya Mtwara ndio lango kuu la usafirishaji wa gesi, Saruji, madini ya chuma, Urani na mitambo ya uchimbaji wa madini. Mkataba ya upanuzi imesainiwa na mnataka nini?
Ujenzi wa Barabara toka Mtwara hadi Mbambabay unaoendelea hamuuoni?
Mikataba ya uwekezaji ktk kuchimba chuma na makaa ya mawe na makampuni yanainjika mitambo hamuoni/hatutaki kuona? Juzi tulikuwa tunalalamikia hofu ya mikataba hii leo wanaibuka watu humu wanadai mipango hiyo haipo kabisa!
Mimi naamini mpango mmoja wa maendeleo hausimamishi kubuni mopango mingine hivyo tulete hoja zenye ukweli sio kupotosha Zisizo na utafiti.

Nasikitika kuona mtu kama Kufaurongo unakuja na majibu ya juu na yale yale ambayo wanasiasa wasio na vision wanayatamka "pale tu kukiwa na jambo". Sijui wewe ndugu yangu unaufahamu vizuri mradi wa Mtwara Development Corridor? Malengo yake na timeframe ya implementation yake unafahamu? Unafahamu ilikuwa inasema nini na lini ilitakiwa iwe imefikia wapi? Do you know its comprehensive package requirements, its administration structure, resource requirements and opportunities identified for investment by both the government (infrastructure, policy and administration) and the private sector (business)?

Unaonekana hujui chochote na kuishia kusema barabara ya Mbamba Bay inajengwa na bandari itatumika na wawekezaji. Kama umetumwa kujibu hoja, waambie wakupange kiukweli coz watu humu jamvini si sawa na wale wanaoambiwa serikali inawependa huku wakisikia kila senti zinavyoliwa na watu waliowachagua.

Homework: Unajua ziara ya JK Ufaransa (akapitia FIFA kupiga picha na Blatter) na mkataba wa Total kufanya exploration ya mafuta Lake Tanganyika? if ur mind stopped to function, kindly corrupt no one else as it fits u only.
 
Wanajamvi, naomba niweke sawa hapa kuhusu Mtwara Coridor. Ukweli ni huu, Mkapa ameikuta Mtwara corridor, Mwalim Nyerere ndiye asiiasisi Mtwara corridor tangu miaka ya sitini maandiko ya Mtwara Corridor yanapatikana katika maktaba ya mkoa wa Mtwara ya tangu wakati huo, ikataka kulihakikisha hili fika makta ya mkoa wa Mtwara. Alichofanya Mkapa ni kuifufua Mtwara corridor, kama unavyojua nchi hii utekelezaji wa sera katika wizara au shirika husika unategea na inteest za kiongozi husika na masilahi yake ya kisiasa na kiuchumi yakoje katika kuitekeleza hiyo sera.
 
Back
Top Bottom