Kukosea Njia.. (18+)

Kukosea Njia.. (18+)

Nyuzi kama hizi mara nyingi hazioneshi kuonya au kukanya badala yake zinachochea tabia mbaya kila mtu anajikuta anataka kujaribu.

Huku nje mtaani watu wengi wamevurugwa Kwa kuhisi wapenzi wao wanawasaliti na si kusaliti tu bali ni kutoa penzi kinyume na maumbile.

Vijana waliokosa adabu wasiojua machungu ya ndoa wamekuwa wakijinasibu kwamba wakipata demu lazima wapige nyuma na mbele,na wenye michezo hiyo wengi wao ni wake za watu.

Ukweli ni kwamba maneno haya yanawaumiza Sana wanaume waliooa huku wao wakiwa hawajawahi kupewa hicho kitu na wake zao.

Wanawake nao dau likiwa kubwa wanarisk tu na kujikuta wanaingia kwenye huo mkumbo mbaya sana .

Ukitaka kujua hili kuwa tu na vijihela vya kubadilisha mboga utajua namaanisha nini

Dunia simama nishuke
 
Nyuzi kama hizi mara nyingi hazioneshi kuonya au kukanya badala yake zinachochea tabia mbaya kila mtu anajikuta anataka kujaribu.

Huku nje mtaani watu wengi wamevurugwa Kwa kuhisi wapenzi wao wanawasaliti na si kusaliti tu bali ni kutoa penzi kinyume na maumbile.

Vijana waliokosa adabu wasiojua machungu ya ndoa wamekuwa wakijinasibu kwamba wakipata demu lazima wapige nyuma na mbele,na wenye michezo hiyo wengi wao ni wake za watu.

Ukweli ni kwamba maneno haya yanawaumiza Sana wanaume waliooa huku wao wakiwa hawajawahi kupewa hicho kitu na wake zao.

Wanawake nao dau likiwa kubwa wanarisk tu na kujikuta wanaingia kwenye huo mkumbo mbaya sana .

Ukitaka kujua hili kuwa tu na vijihela vya kubadilisha mboga utajua namaanisha nini

Dunia simama nishuke
Aisee
 
Nyuzi kama hizi mara nyingi hazioneshi kuonya au kukanya badala yake zinachochea tabia mbaya kila mtu anajikuta anataka kujaribu.

Huku nje mtaani watu wengi wamevurugwa Kwa kuhisi wapenzi wao wanawasaliti na si kusaliti tu bali ni kutoa penzi kinyume na maumbile.

Vijana waliokosa adabu wasiojua machungu ya ndoa wamekuwa wakijinasibu kwamba wakipata demu lazima wapige nyuma na mbele,na wenye michezo hiyo wengi wao ni wake za watu.

Ukweli ni kwamba maneno haya yanawaumiza Sana wanaume waliooa huku wao wakiwa hawajawahi kupewa hicho kitu na wake zao.

Wanawake nao dau likiwa kubwa wanarisk tu na kujikuta wanaingia kwenye huo mkumbo mbaya sana .

Ukitaka kujua hili kuwa tu na vijihela vya kubadilisha mboga utajua namaanisha nini

Dunia simama nishuke
Yani dunia iache kuzunguka jua, isimame kisa ngumbaru mmoja anaejifanya kukosea njia ili ashuke?
 
Nyuzi kama hizi mara nyingi hazioneshi kuonya au kukanya badala yake zinachochea tabia mbaya kila mtu anajikuta anataka kujaribu.

Huku nje mtaani watu wengi wamevurugwa Kwa kuhisi wapenzi wao wanawasaliti na si kusaliti tu bali ni kutoa penzi kinyume na maumbile.

Vijana waliokosa adabu wasiojua machungu ya ndoa wamekuwa wakijinasibu kwamba wakipata demu lazima wapige nyuma na mbele,na wenye michezo hiyo wengi wao ni wake za watu.

Ukweli ni kwamba maneno haya yanawaumiza Sana wanaume waliooa huku wao wakiwa hawajawahi kupewa hicho kitu na wake zao.

Wanawake nao dau likiwa kubwa wanarisk tu na kujikuta wanaingia kwenye huo mkumbo mbaya sana .

Ukitaka kujua hili kuwa tu na vijihela vya kubadilisha mboga utajua namaanisha nini

Dunia simama nishuke
Na ndo maana nimeileta hoja hii.
Ni Vizuri wanawake waseme zaidi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom