Kukosa ustaarabu!

Kukosa ustaarabu!

sasa mjini vyo vya kulipia kama huna miambili ufanyeje na umeshikwa na haja? vyoo vya umma vya bure mijini ni muhimu sana kuliko kulaumu watu wanaolazimishwa na mazingira kuonekena wendawazimu.

Ukijua una safari ya kwenda mjini na utarudi jioni hujipangi? Kua wazi kabisa: wewe ungeweza kufanya hivo?
 
Mi mtazamo wangu ni kwamba vijana hawa hawajaandaliwa mazingira ya ustaarabu kwa hiyo hawawezi kuwa wastaarabu kamwe. Mojawapo ya huduma za jamii ambazo serikali yetu imezipuuzia ni pamoja na maliwato, ambayo mi nilipokuwa naanza kupata akili miaka ya 80 mwanzoni kulikuwa na vyoo vya serikali karibia kila mahali ambavyo watu walivitumia bila malipo na vilikuwa na huduma zote za msingi km maji na sabuni. Leo hii, vile vyoo vyote vya serikali vimebinafsishwa, na wawekezaji hao wameachiwa uhuru wa kutoza kiwango cha pesa watakazo, cjawahi kusikia EWURA wakidhibiti bei ya kujisaidia kwny maliwato ya umma! Tutafakari! :A S thumbs_down:

vyoo ni sh 200 tu very cheap, ni wao tu staili zao na maisha yao...!!
 
sasa mjini vyo vya kulipia kama huna miambili ufanyeje na umeshikwa na haja? vyoo vya umma vya bure mijini ni muhimu sana kuliko kulaumu watu wanaolazimishwa na mazingira kuonekena wendawazimu.

bure alishakufaga, watu wakuwekee maji, wakufanyie usafi, uje ujisaidie bure?????!!!

vyoo ni sh 200 tu very cheap, ni wao tu staili zao na maisha yao...!!
 
Imenifanya nifikiri kweli hawa watoto wote waliojazana mitaani na pia na watu wazima wanaoishi mitaani kwenye mazingira magumu uwa wanamalizia wapi haja zao za mwilini........sasa naanza kupata mwanga
 
duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
natamani ningekuwa karibu niwapopoe kwa mawe ya mugongo...wajinga sana hawa.

uwapige kwa kosa gani?iambie serekali yk ipunguze posho za wabunge na safari za raic public toilet iwe buru kwani ni hk yetu kpt huduma bl mlp.
 
Back
Top Bottom