KUKOSA RADHA YA CHAKULA

KUKOSA RADHA YA CHAKULA

Whackiest

JF-Expert Member
Joined
Sep 13, 2020
Posts
1,173
Reaction score
1,463
Habar za mudaa huu wanajamvi na pole na mizunguko ya wiki nzima na huu ni muda mzur wa mapumziko ukiwa nyumban na sehem mbalimbali za kupumzik
Moja kwa moja kama kichwa cha maad yangu niombe kwa mtu ambaye amewahi kupata tatizo la kukosa radha ya chakula.kama Mimi hap na hil.tatizo.ninalo kama miez minne kwa Sasa yaan nakula kushiba lakin ile radha nilio zoea kama samaki siskii nimeenda.hosptal.nikapima wamesema nina bakteria katika damu nikapewa dawa nimetumia hola nikapewa za kushitua mfumo wa fahamu za kutumia mwez mmoja naona nazo hazina mchango ebu kwa Alie pitia hii hali naomba tusaidiane
 
Habar za mudaa huu wanajamvi na pole na mizunguko ya wiki nzima na huu ni muda mzur wa mapumziko ukiwa nyumban na sehem mbalimbali za kupumzik
Moja kwa moja kama kichwa cha maad yangu niombe kwa mtu ambaye amewahi kupata tatizo la kukosa radha ya chakula.kama Mimi hap na hil.tatizo.ninalo kama miez minne kwa Sasa yaan nakula kushiba lakin ile radha nilio zoea kama samaki siskii nimeenda.hosptal.nikapima wamesema nina bakteria katika damu nikapewa dawa nimetumia hola nikapewa za kushitua mfumo wa fahamu za kutumia mwez mmoja naona nazo hazina mchango ebu kwa Alie pitia hii hali naomba tusaidiane
Ni ladha sio radha.

Lakini jitahidi kufunga kama muislamu kuna funga za jumatatu na alhamisi kwa kila wiki unafunga utaona tu ladha ya menyu
 
Ni ladha sio radha.

Lakini jitahidi kufunga kama muislamu kuna funga za jumatatu na alhamisi kwa kila wiki unafunga utaona tu ladha ya menyu
Saw mkuu asant kwa ushaur
 
Back
Top Bottom