Cognitivist
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,057
- 2,092
mimi trick yangu kubwa ni kuchange pdf iende text then nacopy kiulaini sema vitu kama magraph navikosa.
sema wengine wanaeka text katika image file yaani mfano naandika then napiga snap maandishi then hio snap ambayo ipo mfumo wa picha ndio naieka kwenye pdf hapo no way huwez chakachua.
mfano wa maneno kwenye picha
hapo hata uwe mganga wa kienyeji hucopy
mimi trick yangu kubwa ni kuchange pdf iende text then nacopy kiulaini sema vitu kama magraph navikosa.
sema wengine wanaeka text katika image file yaani mfano naandika then napiga snap maandishi then hio snap ambayo ipo mfumo wa picha ndio naieka kwenye pdf hapo no way huwez chakachua.
mfano wa maneno kwenye picha
hapo hata uwe mganga wa kienyeji hucopy
kwani shida iko wapi?? si nina soma na kutype kene Computer nyingine kama ilivyo vilevile
Siku ukikumbana na ripoti ya kurasa 50 utajuta
kwani shida iko wapi?? Si nina soma na kutype kene computer nyingine kama ilivyo vilevile
mimi trick yangu kubwa ni kuchange pdf iende text then nacopy kiulaini sema vitu kama magraph navikosa.
sema wengine wanaeka text katika image file yaani mfano naandika then napiga snap maandishi then hio snap ambayo ipo mfumo wa picha ndio naieka kwenye pdf hapo no way huwez chakachua.
mfano wa maneno kwenye picha
hapo hata uwe mganga wa kienyeji hucopy
hapo chief tunaongelea secured data it means zina umuhimu wake Mkuu let's say ntapata pesa kwa kuziuza hapo mkuu hata ziwe page ngapi nta type tu.
Je kama hizo data zina michoro uta zitype. Halafu mimi nlidhan mnaongelea tricks na utaalam usiyo hitaji nguvu yan unatumia technology siyo kuchapa upya coz kama ni hilo hata aliyesoma secretarial course anaweza sana
kwan wakuu mimi nazitumia ie PDF pamoja na WORD ila sijajua tofauti zaö mpaka kuwe na kuconvert. Nijuzen tofauti kati yao