Kukatika tena daraja la Kiyegeya: Rais Magufuli afika Morogoro, awasimamisha kazi wahandisi 12. Awapa onyo la mwisho Mfugale, Kamwelwe

Boss mwanamwana Hivi Watendaji wa Jamhuri na Serikali ni kuwa hawajui wajibu wao ??? !!!
Ni uhaba wa fedha, Mbona Rais anasema fedha zinatoka??? Wanalipwa Mishahara ????
Yaani Mpaka Rais atoke Dar aje eneo la Tukio ndio mambo yaende ???
Yaani kuna wakati Tunamwonea tu Rais, Mimi naamini ukiacha Changamoto za Rais, kuna mambo yanatia hasira.

Mimi naamini kila Mwananchi na Mtanzania akifanya Majukumu yake ipasavyo, tutafika mbali,
Siongelei Changamoto za Mwanadamu na U Chama.



Wakuu,

Nipo nasikiliza hapa redio na imehabarisha kwamba kutokana na daraja la Kiyegeya linalounganisha kati ya Morogoro na Dodoma kusombwa tena na maji, mzee baba kaamua kwenda mwenyewe kujua mbivu na mbichi. Amenukuliwa akisema kwamba kwa wahusika wote wajihesabu hawana kazi na ameitaka TANROADS kuhakikisha hakuna barabara inayounganisha kati ya mkoa na mkoa,mji na mji ikisombwa na maji kwa namna yoyote.

Nitaendelea kusasisha kutokana na taarifa ninavyozipata.

Pia soma
Daraja linalounganisha Dodoma na Morogoro limevunjika, hakuna mawasiliano ya barabara
Kubomoka kwa daraja la Kiyegeya: Meneja Tanroads Morogoro arudishwa Wizarani
Mawasiliano kati ya Dodoma na Morogoro yamekatika tena



UPDATE
Rais Magufuli awasimamisha kazi wahandisi 12 wa TANROADS Morogoro na kuwapa onyo la mwisho Waziri wa Ujenzi Mhandisi Isack Kamwelwe, Mtendaji Mkuu TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale na Mkurugenzi wa matengenezo wa wakala huo kwa uzembe daraja la Kiegeya.
 
Ushauri mzuri sana

Wapo wasioamini kuna watuwanateseka sababu ya kuibiwa nyota zao

Na kuna watu wanasafiriaa nyota za watu wanang'aa makazini BIASHARA NK...

Nitoe wazo kwa nilichokiona Kilosa MH waziri WANGU HUSIKA kasafishe nyota vizuri

Dady akikasirika vile next ni kwenda na land cruiser kurudi HME na Bajaji

Cc;lulago
 
Wakuu,

Nipo nasikiliza hapa redio na imehabarisha kwamba kutokana na daraja la Kiyegeya linalounganisha kati ya Morogoro na Dodoma kusombwa tena na maji, mzee baba kaamua kwenda mwenyewe kujua mbivu na mbichi. Amenukuliwa akisema kwamba kwa wahusika wote wajihesabu hawana kazi na ameitaka TANROADS kuhakikisha hakuna barabara inayounganisha kati ya mkoa na mkoa,mji na mji ikisombwa na maji kwa namna yoyote.

Nitaendelea kusasisha kutokana na taarifa ninavyozipata.

Pia soma
Daraja linalounganisha Dodoma na Morogoro limevunjika, hakuna mawasiliano ya barabara
Kubomoka kwa daraja la Kiyegeya: Meneja Tanroads Morogoro arudishwa Wizarani
Mawasiliano kati ya Dodoma na Morogoro yamekatika tena



UPDATE
Rais Magufuli awasimamisha kazi wahandisi 12 wa TANROADS Morogoro na kuwapa onyo la mwisho Waziri wa Ujenzi Mhandisi Isack Kamwelwe, Mtendaji Mkuu TANROADS Mhandisi Patrick Mfugale na Mkurugenzi wa matengenezo wa wakala huo kwa uzembe daraja la Kiegeya.


Always masikini asie na maamuzi yyote ndio hufukuzwa

Wenye maamuzi na madaraka huachwa

Hii ni elite class wanalindana
 
Uchumi wetu ulikuwa unakuwa kwa kasi ya 7% sasa unakuwa kwa kasi ya asilimia 3%
Kwa iyo ulitaka uchumi ukue kwa zaidi ya 7%, huku stigilaji goji inajengwa, SGR inajegwa, ndege zinanunuliwa,Barabara zinajegwa,airport zakumwaga,watumishi hewa wanatumbuliwa,serikali inahamia Dodoma,serikali inaingia ubia na Barick gold etc!!!
 
Kwa iyo ulitaka uchumi ukue kwa zaidi ya 7%, huku stigilaji goji inajengwa, SGR inajegwa, ndege zinanunuliwa,Barabara zinajegwa,airport zakumwaga,watumishi hewa wanatumbuliwa,serikali inahamia Dodoma,serikali inaingia ubia na Barick gold etc!!!
Pole sana maana umasikini umeingia hadi kichwani,hivyo vitu unavyovisema Ethiopia wanavyo kwa kiwango kikubwa na bora kuliko sisi,uchumi wao unesikia umedorora kwa asilimia ngapi?
 
Pole sana maana umasikini umeingia hadi kichwani,hivyo vitu unavyovisema Ethiopia wanavyo kwa kiwango kikubwa na bora kuliko sisi,uchumi wao unesikia umedorora kwa asilimia ngapi?
Mbona unatoa mfano kwa waliofeli! Au taja na nchi zingine za ulaya.
 
Back
Top Bottom