Harper seven
New Member
- Feb 5, 2012
- 2
- 0
Jaman wanasheria nilikuwa naomba mnielimishe juu ya kukata rufaa kwasababu shule yetu matokeo yake yamezuiliwa bila sababu.Nakila tukijaribu kufatilia tunakumbana na vikwazo kama kukamatwa na polis bila ata sababu .Nahitaji msaada wa wanasheria ili nikate rufaa na pia matokeo yetu hayajafutwa ila yamezuiliwa jina la shule inaitwa Arusha meru secondary namba s0303.naomben ushaur