adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 15,486
- 33,534
Acha dharau mkuu ,sababu zinazopelekea kusema UDom ni chuo cha kata ?Na anasoma Udom chuo cha KATAš
At least Muhas vyuo vya Tanzania na elimu yake kwa ujumla bado sana.
Acha dharau mkuu ,sababu zinazopelekea kusema UDom ni chuo cha kata ?Na anasoma Udom chuo cha KATAš
Kwan ukikubali kua Udom cha kata Kuna tatzo?Acha dharau mkuu ,sababu zinazopelekea kusema UDom ni chuo cha kata ?
At least Muhas vyuo vya Tanzania na elimu yake kwa ujumla bado sana.
Bila sababu yeyote ? lazima ziwekwe sababu kisha tuangalie uhalisia hapo kukubali ndipo kunakuja kama maelezo yakiendana na uhalisia pamoja na kulinganisha na kwengine.Kwan ukikubali kua Udom cha kata Kuna tatzo?