adriz de mbusii
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 16,786
- 37,796
Acha dharau mkuu ,sababu zinazopelekea kusema UDom ni chuo cha kata ?Na anasoma Udom chuo cha KATA😅
At least Muhas vyuo vya Tanzania na elimu yake kwa ujumla bado sana.
Acha dharau mkuu ,sababu zinazopelekea kusema UDom ni chuo cha kata ?Na anasoma Udom chuo cha KATA😅
Kwan ukikubali kua Udom cha kata Kuna tatzo?Acha dharau mkuu ,sababu zinazopelekea kusema UDom ni chuo cha kata ?
At least Muhas vyuo vya Tanzania na elimu yake kwa ujumla bado sana.
Bila sababu yeyote ? lazima ziwekwe sababu kisha tuangalie uhalisia hapo kukubali ndipo kunakuja kama maelezo yakiendana na uhalisia pamoja na kulinganisha na kwengine.Kwan ukikubali kua Udom cha kata Kuna tatzo?