Kukabiliana na Corona Tanzania

Kukabiliana na Corona Tanzania

sawa mkuu, ila sioni umuhimu wa serikali kutumua fedha kuwanunulia raia fimbo. I mean kwa haya mazingira ya kitanzania kama lengo la kujikinga litasaidiwa sana na hizo fimbo, basi kuna miti mingi tu huko mitaani ambapo raia wanaweza kata vijiti vyenye urefu wa mikono yao, na hizo fedha za kununulia fimbo zikapata matumizi mengine muhimu zaidi.
Kukata miti ni uharibifu wa mazingira na ni kosa.
 
Social distancing ni sawa na sanitizer mkuu,the only reliable intervention ambayo inaonyesha positive results..pitia huko mtandaoni utaona social distancing,mimi nimeona serikali yetu inaweza hii kitu sio gharama sana, halafu hizo fimbo ni one metre sijui kama vinafanana na mkono,sio vijiti unavyokutana navyo barabarani
Dr. Tupe mfano mmoja tu wa nchi iliyofanikiwa kuondoa Corona kwa matumizi ya njia unayopendekeza ikiwa na maana kwamba matumizi ya fimbo.
 
Dr. Tupe mfano mmoja tu wa nchi iliyofanikiwa kuondoa Corona kwa matumizi ya njia unayopendekeza ikiwa na maana kwamba matumizi ya fimbo.

Mnh,kwa hio kama hakuna nchi iliyoondoa corona kwa kutumia fimbo then inaifanya hii topic invalid?? sidhani kama tunaelewana hii ni message yangu ya mwisho kwako, kukusaidia sio fimbo tu ya kawaida, bali fimbo yenye one metre,is simple intervention,inayolenga kuwa engage community kukabiliana na hili gonjwa,kabla hujatoka nyumbani kwako ukiiona fimbo yako ni reminder kuna gonjwa la Corona na reminder kukaa on look out...na hii itatusaidia kukabiliana na ugonjwa...wabongo nimewavulia kofia,hamtaki lockdown na simple intervention like this of fimbo pia hamtaki...haya basi tupige kelele wanajeshi wakae tayari kutuzika kwa maelfu...mweeeh
 
Tukae kama hivi etiiii
 

Attachments

  • Coronavirus_social_distancing_1280x720 jamiii.jpg
    Coronavirus_social_distancing_1280x720 jamiii.jpg
    100.9 KB · Views: 9
Back
Top Bottom