KUJUA NAMBA ALIZOBLOCK MKEO

KUJUA NAMBA ALIZOBLOCK MKEO

UWOGA=UMASKINI

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
2,400
Reaction score
1,018
Haya wale wataalamu WA ICT au wajanja WA mjini nitajuaje mpenzi/rafiki/mke namba alizoziblock kwenye simu yake ?
 
Naona bado mtaalamu wa ICT hajafanya mambo yake,endelea kusubiri...
 
Kila siku tunawaambia acheni kuwafuatilia mke/waume zenu mtavunja ndoa kwa mambo madogo
 
Hili suala si la kuuliza, kupeleleza na kulifuatilia kwa namna iwayo yote ile. Utakujajikuta unapoteza mwelekeo wako.
Sasa hivi kuchepuka kwa wanaume it's ni rasmi isiyo rasmi maana ni lazima.

Sasa jiulize huo mchepuko wako, wewe ni kama unaye muweka mjini, kuna mwingine na wengine wana majukumu yao.
Sasa wewe mchunguze utajikuta huo mchepuko wako wa kisirisiri ni demu wa mshkaji usiyemjua anayemiliki mchepuko wake
ambaye ni mkeo. HANDLE THE MATTER WITH CARE.
 
Back
Top Bottom