Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Wakuu.
Wahenga wanasema sumu haijaribiwi kwa kuonja mdomoni.
Nataka nijue kama chakula ni sumu kwa binadamu , nimrengeshee paka au panya kwanza ? Au kuna njia gani ya kukiprove hicho chakula kama kinaua binadamu ?
Madaktari hutest vipi?
Asanteni.
Wahenga wanasema sumu haijaribiwi kwa kuonja mdomoni.
Nataka nijue kama chakula ni sumu kwa binadamu , nimrengeshee paka au panya kwanza ? Au kuna njia gani ya kukiprove hicho chakula kama kinaua binadamu ?
Madaktari hutest vipi?
Asanteni.