Indume Yene
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 2,968
- 727
Ngeleje anasinzia au ni macho yangu!
Ngeleje anasinzia au ni macho yangu!
Ngeleje anasinzia au ni macho yangu!
Jamani hebu angalia pesa za walala hoi wa Bongo zinavyotafunwa. Huyu Waziri wa Nishati na Madini Mh. Ngeleja kalipiwa kiasi kingi kuhudhuria mkutano huo nchini Ufaransa. Sasa huyu kweli kaenda kuhudhuria kweli?
Jamani hebu angalia pesa za walala hoi wa Bongo zinavyotafunwa. Huyu Waziri wa Nishati na Madini Mh. Ngeleja kalipiwa kiasi kingi kuhudhuria mkutano huo nchini Ufaransa. Sasa huyu kweli kaenda kuhudhuria kweli?
Halafu ni aibu kwa Rais kuvalishwa name tag....kweli huu ulikuwa mkutano wa level ya chini sana kwa Rais...Ngeleja angetosha labda kama hana uwezo wa kuhudhuria
Jamani hebu angalia pesa za walala hoi wa Bongo zinavyotafunwa. Huyu Waziri wa Nishati na Madini Mh. Ngeleja kalipiwa kiasi kingi kuhudhuria mkutano huo nchini Ufaransa. Sasa huyu kweli kaenda kuhudhuria kweli?