Kujiuzulu waziri mkuu

Kujiuzulu waziri mkuu

waziri mkuu ccm walimweka kiporo ili ccm ianguke kiulani kwenye uchaguzi mkuu mwaka huu.
 
Huwa unakunywa maji kiasi gani na unapumzika masaa mangapi kwa siku??


Hapa hakuna ubishi hata chembe, hapa kuna ukweli tu.

Nnawasikitikia nyinyi msiouona ukweli. Funguweni vichwa ili macho yenu na masikio yenu yafunguke. Kwa muono wenu unavyoishia kwenye ncha ya pua zenu, laiti zingekuwa ndefu basi, sishangai kwanini hii nchi watu wake ni masikini licha ya ya nchi kuwa na utajiri wa kupindukia.

Kichwa hicho kinakwenda kuchukuwa pesa za bure bungeni mpaka muda wake ukiisha huku kikipiga pesa kwa kuzishauri nchi zenye akili, nyie mnachekelea.
 
Ndiyo maana nikasema Haachii mtu ngazi kwa ripoti ya Zitto. Na ndivyo ilivyokuwa , ripoti yake ilitaka waziri mkuu, na waziri wa nishati na naibu waziri wote wawajibishwe. Ikapigwa chini hapo hapo bungeni na ikakaa kamati chini ya Anna Kilango na yakatolewa maazimio mapya amabyo yalikuwa tofauti kabisa na ripoti ya PAC.

Leo watu wananiuliza FF vipi? FF sijui nini?

Mimi nawauliza, hawajuwi kusoma? au ndiyo upunguani wenyewe?
Na wewe mnafiki mkubwa, nakumbuka ulisema kuwa sula zima la escrow ni uongo halina ukweli wowote, na ulikuwa kipaumbile zaidi kumtetea Pr. Muhongo kuwa hakuna alichokifanya, pia nakumbuka uliponda sana report ya PAC chini ya Zitto Kabwe. Nakushangaa leo umekimbilia kwa PM. Naona hujielewi wewe mwana mama
 
Amewachia ngazi kwa kusakamwa. Huwezi mlazimisha. Lakini hana kosa.

Mesahau kuwa yule si mwanasiasa, yule alikuwa ni mtendaji katika mawaziri watendaji, hakugombea ubunge yule.

Hivi wewe uliwahi kufaulu shule hata somo moja ukapata 100%? katika maisha yako? ni swali tu.

Na Kile kisiki cha "system" alichowekewa pale wizarani Mengi sasa hivi, itabidi asubiri awamu iishe tu, hana ujanja.
Alichotuwekea JK badala ya Muhongo ni kisiki afadhali ya Muhongo X 100. Siyo taarifa mbaya Kwa mengi tu bali wadau wote wa nishati na madini. Wakati wa "asiyeweza kulipia gharama za umeme ajaribu kibatare" umefika!
 
wakati wa "asiweza kulipia gharama za umeme atumie kibatare" umefika
 
Amewachia ngazi kwa kusakamwa. Huwezi mlazimisha. Lakini hana kosa.

Mesahau kuwa yule si mwanasiasa, yule alikuwa ni mtendaji katika mawaziri watendaji, hakugombea ubunge yule.

Hivi wewe uliwahi kufaulu shule hata somo moja ukapata 100%? katika maisha yako? ni swali tu.

Na Kile kisiki cha "system" alichowekewa pale wizarani Mengi sasa hivi, itabidi asubiri awamu iishe tu, hana ujanja.

Katiba inamruhusu Rais kuteua Wabunge kumi na katiba inasema Waziri lazima awe Mbunge. Katiba haisemi Waziri lazima awe Mbunge wa kuchaguliwa.


Katika wizara hapo Mengi kaingiaje?
............Kwenye nyumba ya starehe tingatinga limefikaje?..........
 
Katiba inamruhusu Rais kuteua Wabunge kumi na katiba inasema Waziri lazima awe Mbunge. Katiba haisemi Waziri lazima awe Mbunge wa kuchaguliwa.


Katika wizara hapo Mengi kaingiaje?
............Kwenye nyumba ya starehe tingatinga limefikaje?..........

Asiyejuwa haambiwi maana kwa kuwa hana maana.
 
Back
Top Bottom