MTH center
Senior Member
- Dec 18, 2012
- 115
- 52
wanaJF,
wakati wa mjadala wa escrow niliwasikia baadhi ya wabunge bungeni wakimtetea pinda km PM kuwa hana kosa na hivyo hana sababu za kuwajibika kwa suala la ecrow! mimi ninavyojua wizara zote ziko chini yake na anapoharibu waziri yeyote kaharibu yeye pia. Kabla ya mtu wa nje ya serikali (mfn, Kafulila a.k.a Tumbili) kuona uchafu wa wizara alipaswa PM awe wa kwanza kuliona na kukemea ndan kwa ndani.
Je yeye km waziri mkuu a haribu wizara gani ili awajibike?
wakati wa mjadala wa escrow niliwasikia baadhi ya wabunge bungeni wakimtetea pinda km PM kuwa hana kosa na hivyo hana sababu za kuwajibika kwa suala la ecrow! mimi ninavyojua wizara zote ziko chini yake na anapoharibu waziri yeyote kaharibu yeye pia. Kabla ya mtu wa nje ya serikali (mfn, Kafulila a.k.a Tumbili) kuona uchafu wa wizara alipaswa PM awe wa kwanza kuliona na kukemea ndan kwa ndani.
Je yeye km waziri mkuu a haribu wizara gani ili awajibike?