Kujiuza katika mapenzi ni kufanya ngono bila kuwa na mapenzi ya kweli na unayefanya naye ngono kwa ajili ya kujipatia faida ya aina yeyote iwe pesa, vitu, ulinzi n.k
una akili sana kongosho! Wewe wera, yaani kwa hii definition ni kuwa hata nyumba ndogo ni sawa na changudoa anayejipanga pale kimboka,corner bar,ohio,au jolly ili apate chochote.
una akili sana kongosho! Wewe wera, yaani kwa hii definition ni kuwa hata nyumba ndogo ni sawa na changudoa anayejipanga pale kimboka,corner bar,ohio,au jolly ili apate chochote.
Kujiuza katika mapenzi ni kufanya ngono bila kuwa na mapenzi ya kweli na unayefanya naye ngono kwa ajili ya kujipatia faida ya aina yeyote iwe pesa, vitu, ulinzi n.k
Mweleweshe asije akapotosha watunani alikwambia kila nyumba ndogo inakuwaga nyumba ndogo ili ipate hela?
kama ni kufanya ngono bila kuwa na mapenzi bali kwa ajili ya kujipatia chochote,inamaana hata huyo mwanaume anayemchukua changudoa pia anajiuza ili ajipatie starehe..si ndio?am just thinking
nani alikwambia kila nyumba ndogo inakuwaga nyumba ndogo ili ipate hela?
nani alikwambia kila nyumba ndogo inakuwaga nyumba ndogo ili ipate hela?
Mweleweshe asije akapotosha watu
hii thread mtaishia kutukana watu weengi bila kupata muafaka.....
definition ya kujiuza ni kubwa saana...
ndo maana hata wasioolewa huambiwa 'hawana soko'
au 'hawajapata soko'......
shakespeare alisema 'nothing is good or bad only your mind makes you think so'....
Mara nyingi tunasikia na kuona watu wakinyooshewa vidole kua "wanajiuza tu hao" au "anajiuza tu huyo".
Sasa nimejikuta najiuliza Je kujiuza kunaanzia wapi na kuishia wapi? Ni mpaka mtu atilie pamba matata na kusimama barabarani huku akisubiria atakaevutiwa nae atokee? Ni mpaka mtu awe na buzi ambalo linamuweka mjini? Vipi anaeoa/olewa kabisa kwasababu ya pesa na sio mapenzi. . . huyu nae anajiuza?