vijora
Member
- Sep 29, 2017
- 43
- 30
Habari za muda huu wana jukwaa!!
Nimeangalia website ya chuo cha usafirishaji naona haijaruhusu maombi ya kujiunga na chuo mwak 2018/2019
Ni kweli hawajaruhusu maombi ya kujiunga na chuo kwa upande wa diploma au mm nachanganya madesa..hebu nijuzeni bandugu mana naona muda umepita.
Asanteni.
Nimeangalia website ya chuo cha usafirishaji naona haijaruhusu maombi ya kujiunga na chuo mwak 2018/2019
Ni kweli hawajaruhusu maombi ya kujiunga na chuo kwa upande wa diploma au mm nachanganya madesa..hebu nijuzeni bandugu mana naona muda umepita.
Asanteni.