Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 7,023
- 9,262
samahan wakuu, naomba kuuliza, kwenye matokeo yangu nimepata civ C, na biology C but phy, chem, math na mengne yote nimepata D. mbali na ualimu na nursing, nicourse gani nyingine ambayo ni marketable itanifaa kusomea? tafadhal nifahamisheni waungwana.