Kujiunga Chuo baada ya kumaliza Kidato cha Nne

Kujiunga Chuo baada ya kumaliza Kidato cha Nne

Kuna ndugu yangu kapata alama; Civ-E, Hist-D, Geo-D, Kisw-C, Engl-B, Phy-E, chem-D, Bio-C, Math-E. kozi gani inamfaa ambayo ipo hapa Dar ?
 
aha kuna chuo mafinga college kinatoa coz zifuatazo human resource ..procurement,accountancy,information technology na business administration chuo kipo mafinga iringa kama atakua anahtaj 0754997606

Mafinga sehemu gani zaidi ili tukielewe kilipo.
 
Kuna Dogo Kazngua Kapta Civ F,hist C, Geo D,eng D,kisw C, Bio F, Math F
Anaweza Nae Akasomea Nn Wadau

Duuu!!! hawa madogo wakiambiwa wakaze buti hawasikii, ona sasa wanavyozingua!!!. Na huku kushinda JF mara fb mara Whatsapp kuzingua lazima, poleni sana.
 
Kuna mdogo wangu kapata civ d kiswahili d masomo mengine f vipi tutamsaidiaje
 
Binti wangu ana Div 2 ya 20, anataka fani ya udaktari, tutamsaidiaje?

Kama PCB imekaa vizuri aende A level, mambo mengine baada ya Form VI. Hii ya kuongelea MD mtu yuko Form IV ni mapema mno. Labda kama udaktari unaozungumzia ni huo wa kuungaunga. Lakini kwanini watu leo wanavitafuta vyuo kwa tochi kumbe wangesoma kwa bidii hayo yote yasingekuwepo?
 
Kama PCB imekaa vizuri aende A level, mambo mengine baada ya Form VI. Hii ya kuongelea MD mtu yuko Form IV ni mapema mno. Labda kama udaktari unaozungumzia ni huo wa kuungaunga. Lakini kwanini watu leo wanavitafuta vyuo kwa tochi kumbe wangesoma kwa bidii hayo yote yasingekuwepo?
PCB ana DCC respectively Mkuu!!
 
jaman mm nlimaliza 2014 na kupata gpa ya 2.4.
matokeo yangu ni
physics-C
chemistry-C
biology- C
math-E
hist- B
kisw-B
eng-B
civics-C
geog-C
je naweza pata chuo cha afya?
kozi ipi naweza somea?
 
Naomba ufafanuzi kwa anayejua, nimelipia ada ya chuo kikuu baada ya muda tukapata mkopo wa elimu je ile ada yangu nitarudishiwa au itapotelea huko ?
 
Chuo ni nzri lakini c nzuri zaidi kma utakosa msingi wa elimu ya advance....Advance hakika ni bora kuliko certificate tofauti Na watu wanavyodhani.....Advance huumpa uwezo wa mwanafunzu kupambanua mambo mengi kwa upana zaidi hasa atapata shule nzri ktk kufundisha....cha msingi tuwasisitize watoto wapende shule waache anasa huku wakijua baadae kuna shortcut ktk kusoma.....
 
Nasoma nawanafunzi ambao hawakupitia form six huwa wanajua lakini ni kwa mwanzoni tu baada ya mda wote tunakua sawa na mwisho kabisa tunawaachaga mbali nazikija course ambazo hawakuwahi kuzisoma kwenye diploma zao huwa wanasurrender, kwakweli form six ni muhimu moja ni kwa ada na mbili ni kukuandaa kiuwezo na kisaikolojia kwaajili ya chuo, field yangu ni sheria.
 
HIVI NI KWELI CHUO CHA CITY COLLAGE HAKINA WALIMU WA KUTOSHA PIA AJIRA BAADA YA KUMALIZA MASOMO NI NGUMU KUPATIKANA.
MANA WAZAZ WANATAKA WANIPELEKE KUSOMA HAPO.
MSAADA JAMANI KABLA SIJAUMBUKA HAPO CHUONI.
KWA WANAOKIFAHAMU VIZURI WANIFAHAMISHE.
 
Mimi Nina dv ii y 21
CV d
Hst c
Geo c
Eng c
Kisw c
Phy d
Chem c
Bios. B
Math. F
Naweza soma coz gan ya afya?
 
chuo kinaeleweka kina toa coz za biashara ngazi ya cheti na diploma na kina usajiri wa serikali na intake inaanza tareh 11 mwezi wa nne
 
Back
Top Bottom