Kujiunga Chuo baada ya kumaliza Kidato cha Nne

Kujiunga Chuo baada ya kumaliza Kidato cha Nne

Wakuu kuna dogo langu limepata iv ya 26 kama inavyoonesha hapa chini,

Civics D, history D, geogr D,kiswa D, english C, biology C,physics F, chemia D na math F


Kwa huo ufaulu hapo juu huyo dogo anaweza kusoma chuo gani na kozi gani ...????
Ushauri pleeease...!!
 
Kuna Dogo Kazngua Kapta Civ F,hist C, Geo D,eng D,kisw C, Bio F, Math F
Anaweza Nae Akasomea Nn Wadau
 
Hii clinical medicine ndio clinical officer? Alafu kumbuka BIOS ana D
Hii clinical medicine ndio clinical officer? Alafu kumbuka BIOS ana D
Hii clinical medicine ndio clinical officer? Alafu kumbuka BIOS ana D
Hii clinical medicine ndio clinical officer? Alafu kumbuka BIOS ana D

yap diploma clinical medicine ndio hiyo clinical officer na cert clinical medicine ndio clinical assistant.
vigezo vya diploma inatakiwa Uwe na ufaulu wa phys D'..chem C na bios C.
kwa certificate unatakiwa uwe na DDD ya PCB
 
Wakuu kuna dogo langu limepata iv ya 26 kama inavyoonesha hapa chini,

Civics D, history D, geogr D,kiswa D, english C, biology C,physics F, chemia D na math F


Kwa huo ufaulu hapo juu huyo dogo anaweza kusoma chuo gani na kozi gani ...????
Ushauri pleeease...!!

aombe kozi ya afya ya community health, kama phys angepata angalau D angesoma cert in clinical medicine
 
Huyu dogo amepata hivi
IV: 27 CIV D, HIST D, GEO D, KISW C, ENG D, PHY F CHEM D, BIO D, B/MATH F , je tunaweza kumsaidiaje?
Afanye application chuo cha uongozi wa mahakama lushoto
 
Madogo wana hadisiwa maisha ya vyuo nao wana pata tamaa ya kusoma vyuo kama kafaulu vizuri kwann asiende 5&6 ili apande nafasi zaidi ya kuchagua professional gani anataka baada ya kupata matokeo ya Advance
 
Ndio maana kuna madaktari wabovu
Wahandisi wabovu
Waandishi wabovu
Walimu wabovu
Sababu mtu akifeli tu anakimbilia certificate
Anaunga unga hadi anapata degreee
 
aombe kozi ya afya ya community health, kama phys angepata angalau D angesoma cert in clinical medicine
kuna kijana anapenda koz za afya, matokeo yake Hist-D, Geog-D, Civ-D, Chemistry-D, Bios-C, Kisw-C, Engl-C, Maths-F, Phy-F. ipi aweza pata?
 
kuna kijana anapenda koz za afya, matokeo yake Hist-D, Geog-D, Civ-D, Chemistry-D, Bios-C, Kisw-C, Engl-C, Maths-F, Phy-F. ipi aweza pata?

mwambie akasome kozi mpya ya afya community health..
kama phys angekuwa amefaulu angeomba nursing au clinical medicine.
 
Matokeo yangu ni haya . .. Je nfanyeje??
28 IV==
CIV - 'D' HIST - 'D' GEO -
'D' KISW - 'D' ENGL - 'C'
PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO
- 'D' B/MATH - 'F'
 
Back
Top Bottom