kijana sasa hayo ndio yaleyale majunguwewe unasoma chuo gani vire?
bira shaka watakuwa wanaenda kuangaria mazingira na kutarii.
ndugu me nimejaribu kuandika kama alivyoandika mtoa mada. hebu soma vizuri neno baada ya neno ya kichwa cha habari na mada yenyewe jinsi mtoa mada alivyoandika alafu umsahihishe mtoa mada sio mimi.La le li lo lu.
Ra re ri ro ru.
Kuna tofauti kimatamshi na kimaandishi,haziko sawa.
Ha ha ha!
Mtoa mada andika vizuri bwana
waadhirika wengi wa elimu ya bongo awawezi kutofautisha kati ya r na l.....
maana watu wengne badala ya kutoa mada nzuri wao wanasifia vyuuhusu vyuoo vya watu na wala c vya wazazi wao, ikumbukwe atanzania wye wanapomalza shule huishia ktafta kazi hvyo hakuna haja ya marumbano kuhusu vyuo
bira shaka watakuwa wanaenda kuangaria mazingira na kutarii.
usimlaumu muulize amesoma kozi gani na chuo gani. Labda amepiga bachelor of science in applied physics ambapo wao spelling na punctuation si razima sana waweke.
maana watu wengne badala ya kutoa mada nzuri wao wanasifia vyuuhusu vyuoo vya watu na wala c vya wazazi wao, ikumbukwe atanzania wye wanapomalza shule huishia ktafta kazi hvyo hakuna haja ya marumbano kuhusu vyuo
ha ha ha,du!Wengne?
Vyuuhusu?
C?
Atanzania?
Wye?
wanapomalza?
ktafta?
Hvyo?
Marumbano?
Furani?
Ni uvivu wa kuandika?
Makusudi?
Au unakimbizwa na simba???
Wengne?
Vyuuhusu?
C?
Atanzania?
Wye?
wanapomalza?
ktafta?
Hvyo?
Marumbano?
Furani?
Ni uvivu wa kuandika?
Makusudi?
Au unakimbizwa na simba???