mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 39,286
- 44,852
hv mnaotumia maji,naomba niwaulze hv ule ubichi ubichi/yale maji maji ambao hubakia kati kat ya mattercore huwa mnayakausha vp???
sku moja npo Tanga bahat mbaya eneo nlilopo hakukuwa na toilet pepa asee nlikuwa nakaa hata sku 3 bila choo
nlijitahd kujizoesha maji lakn baada ya kurud nyumban nkarud kwny toilet pepa zangu kama kawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja
Nivune mpunga nipate nauli ya kuzamia huko baada ya Corona kupita
Hizi mambo zinategemea tamaduni mtu alizokuzwa. Kuna sehemu wanatushangaa sana kurithi tamaduni za waarabu. Maji ndio huleta usafi kamili, tissue hapana kabisa. Imagine vidume tulivyo na nywele za makalio halafu unachúkua tissue kujifuta, huwezi kuwa msafi hata kidogo.
Majority ya watu wa southern Africa hawanawi maji, wanatushangaa sana tunaotumia maji kujiswafi.
Sio issue mkuu!!Ila tunao tumia maji, bado tuna shika kinyesi wakati wa kunawa
Sent from my iPhone using JamiiForums
Inategemea umepata makuzu gani kama unezaliwa sehemu ambapo maji hutumia basi unazoea hivyo kwa wale waliozaliwa sehemu wanapotumia tissue.
Kwa mfano mi nimekuwa natumia magazeti yaani choooni kuna magazeti ba madaftari ya zamani ndio wotetunatumia ila baada ya kuja advance nikakutana na maji aisee mwanzoni niliteseka nikawa nahisi kabsa haya majimaji yanayobaki hayana mavituz kweli ila kwa sasa ninezoea ila mkoani bado ni magazeti na hata wakija kunisalimu mjini wanakutana na tissue paper.
Sent using myLG leon
hv mnaotumia maji,naomba niwaulze hv ule ubichi ubichi/yale maji maji ambao hubakia kati kat ya mattercore huwa mnayakausha vp???
sku moja npo Tanga bahat mbaya eneo nlilopo hakukuwa na toilet pepa asee nlikuwa nakaa hata sku 3 bila choo
nlijitahd kujizoesha maji lakn baada ya kurud nyumban nkarud kwny toilet pepa zangu kama kawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wala unyevu nyevu hauwashi kabisa.Maji ni sahihi, ila lazima uwe na kitu cha kujikaushia. Mfano TP au wipes.
Lasivo ukivaa na ule unyevu unyevu, lasivo utawashwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwako labda.