Mi Pia naulizia ile ya Maninja ambayo ukiomba dua tu, basi unageuka vingine ukiwa na maguo meusi panga mgongoni (sijui vinatoka wapi),
Ntapata wapi chuo cha hii kitu (U-Ninja)??
Siku hizi kwenye nyumba za ibada mafunzo hutolewa, tena kwa watoto wadogo sana. Sijui, kama Mungu ni muweza wa yote kwanini tujihami kwa karate? Je ni nabii gani aliyekuwa karateka?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.